Ok, hata contents ni hovyo kabisa. This is personal between Raila and Magufuli. Anaichomekaje CCM kwenye huo mwaliko? Kama ungeihusu CCM, mwaliko ungetumwa kwa chama, na chama ndicho kingemteua Magufuli au mwakilishi mwingine yeyote. Kumbe hili jaluo halina tofauti na Lyatonga mukichwa.Nasikitika kusema why don't we dig the contents than wasting time on theme!!!!!!