Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
Ben Saanane,
..lakini huyu Magufuli ni MROPOKAJI na muda mrefu wananchi wamekuwa wakimchekea.
..kwa muda mrefu amekuwa akitoa matamshi ya ajabu-ajabu kila anapopata wasaa wa kuzungumza majukwaani.
..sasa tabia yake hiyo ameiendeleza mpaka huko ugenini na kulitia taifa aibu.
..wizara ya mambo ya nje ilipaswa kumuandalia a WRITTEN STATEMENT na kumpa maelekezo kwamba asiseme kitu nje ya statement hiyo.
..je, Balozi wetu Kenya alikuwepo kwenye mkutano huo??
JF idumu milele