Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Huyu Dokta/Mchungaji tena kijana ni mfano wa kuigwa.Napenda vipindi vyake vya redio na TV kwa maana anazungumzia mambo ya maisha ya kawaida kabisa.Kipindi chake cha juzi Jumatano kuhusu namna ya kuchagua mchumba kwa vijana wa kike na kiume kilinivutia sana.Laiti angejiunga hapa akaweza kuchangia hizi mada kwenye jukwaa la mahusiano na JF Dr.
Laiti angejiunga hapa akaweza kuchangia hizi mada kwenye jukwaa la mahusiano na JF Dr.
weeeeeeeeeeeeeeee bili yake atalia nani?????????
Unajua Dr Ndodi ni wa gharama kwa sababu vipindi vyake vinavyo rushwa kwenye runinga na radio anavilipia mwenyewe.Na kila week nilazima apande ndege kwenda mwanza kufanya kipindi.Unategemea hizo pesa anatoa wapi kama sio kucharge wateja wake kiasi kikubwa cha pesa ili aweze kuendelea kutuelimisha kupitia vyombo vya habari?Laiti angejiunga hapa akaweza kuchangia hizi mada kwenye jukwaa la mahusiano na JF Dr.
weeeeeeeeeeeeeeee bili yake atalipa nani?????????
Ni ujinga kwa kila mganga wa kienyeji kujiingiza katika mambo ya kiuchungaji ili watu wawakubali!Alianza Yahaya Hussein,akaja Ndodi sasa Joseph Kalokola Buberwa wa JKB international nae eti anatoa neno la mungu!Acheni kukufuru mungu kwa kutaka ufalme wa hapa duniani.Kalokola mke kamshinda na wametengana kwa kupigana magumi pale ubungo plaza mimi pamoja na wafanyakazi wake akina Vick,Mrutu na Ndutu ndio tulioamulia hizo ngumi leo nae anafundisha watu jinsi ya kuishi katika ndoa!Aibu.Hawa ni wafanyabiashara tuu wala hawatendi mambo ya mungu,achaneni nao.
inakuwaje mtu anakuwa ni Mchungaji na pia Mganga wa kienjeji? tiba zake nyingi si za kweli, mfn ndimu kutibu malaria!, wengi wamejaribu na kuishia na malaria kali wakaponea kwinini hospitalini, halafu bei zake ni aghali kuliko kwenda kutibiwa Apollo Hosp. INDIA, ila namkubali kuwa he is a good orator, which fits well with preaching the word of god.
Ni ujinga kwa kila mganga wa kienyeji kujiingiza katika mambo ya kiuchungaji ili watu wawakubali!Alianza Yahaya Hussein,akaja Ndodi sasa Joseph Kalokola Buberwa wa JKB international nae eti anatoa neno la mungu!Acheni kukufuru mungu kwa kutaka ufalme wa hapa duniani.Kalokola mke kamshinda na wametengana kwa kupigana magumi pale ubungo plaza mimi pamoja na wafanyakazi wake akina Vick,Mrutu na Ndutu ndio tulioamulia hizo ngumi leo nae anafundisha watu jinsi ya kuishi katika ndoa!Aibu.Hawa ni wafanyabiashara tuu wala hawatendi mambo ya mungu,achaneni nao.
Binafsi nimekuwa mfuatiliaje wa Vipindi vya Dr Isaack Ndondi kuanzia vile Channel 10 mpaka StarTv. Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya mambo ya msingi katika jamii ambayo uwepo wake kwenye screen kumewasaidia wengi. Vipindi vyote hivyo anavifanya kwa gharama zake mwenyewe, kwa hiyo hata gharama zake kimatibabu lazima ziwe juu. Laiti kama watanzania wasingeendelea kuifanya mioyo kuwa migumu na kumsaidia huyu bwana kama basi angekuwa msaada mkubwa jamii
Binafsi huwa napata burudani saaaaafi napokuwa naangalia kipindi chake. Ni zaidi ya comedy . Pamoja na kujaliwa kipaji cha kuongea haraka haraka, pia huwa anajaribu kutumia lugha ambayo inaweza kueleweke kwa kila mtu.[/QUOTE]
umesema pwent. alienda mabibo hostel kutoa mada zake za ujana na uchumba kuelekea ndoa siku ya ijumaa fulani then nadhani jumamosi yake yakatokea yale mauaji ya kinyama. watu hawamsikilizi. kuhusu kutumia lugha. angekuwa muwazi kiivyo ingekuwa balaa hasa kwa watoto. mwenyewe huwa anasema hutumia tafsida hasa yanapokuja mambo ya kiutu uzima. "unamlamba chenga golikipa hadi anakuwa hoi kisha unafunga bao lako saaafi!"
tumzungumzie kwa wema tu kwani ni mtume yule
inakuwaje mtu anakuwa ni Mchungaji na pia Mganga wa kienjeji? tiba zake nyingi si za kweli, mfn ndimu kutibu malaria!, wengi wamejaribu na kuishia na malaria kali wakaponea kwinini hospitalini, halafu bei zake ni aghali
umesema pwent. alienda mabibo hostel kutoa mada zake za ujana na uchumba kuelekea ndoa siku ya ijumaa fulani then nadhani jumamosi yake yakatokea yale mauaji ya kinyama. watu hawamsikilizi. kuhusu kutumia lugha. angekuwa muwazi kiivyo ingekuwa balaa hasa kwa watoto. mwenyewe huwa anasema hutumia tafsida hasa yanapokuja mambo ya kiutu uzima. "unamlamba chenga golikipa hadi anakuwa hoi kisha unafunga bao lako saaafi!"
Huyu ni mfanyabiashara - sishangai mbinu anazotumia
Wakuu naomba muone angalizo hapa chini.
Inatakiwa tumzungumzie kwa wema!!!!!
Utaona moja kwa moja sina nafasi ya kuchangi wema juu ya mtu huyu. Naomba upanue wigo ya mada hii ili tuweze toa mabaya pia.