Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,611
dk.ndodi namkubali sana kama anakubore badilisha station hujalazimishwa pia yeye ndiye anayelipia kipindi wewe kusikiliza tu
Ndugu kipindi hiki kwa vyovyote kinafuatuliwa na watu wa imani tofauti, na nina hakika huyo Dr. Ndodi (sijui ni udokta wa nini) ndilo lengo lake, kama ndivyo aache kuingiza mambo ya kiimani kwenye hayo mafundisho yake. Kwa vyovyote kwa wengine inaweza kuwa kero.
Kuhusu kubadili kipindi sidhani kama Ndodi (anayelipia kipindi) angejibu kama ulivyojibu wewe.
Hapa hoja ni dokta Ndodi kutambua kuwa anasikilizwa na watu wa imani tofauti na awatendee haki, sio suala la wewe kumkubali, huo ni ubinafsi.
Mimi ni mkristo.