Dr. Isaac Ndodi, jirekebishe

Dr. Isaac Ndodi, jirekebishe

Nilisikia hicho kipindi,hakusema kuoa\kuolewa ni dhambi,kasema sio vizuri ingawa sikubaliani nae kwa hilo.
 
Nuhu alihubili miaka 120 mwisho waliokoka watu 7 wafamilia yake tu, yohana pia alihubili na kubatiza lakini wachache walimkubali na kubatizwa, Yesu pia alihubili miaka 25 na kuponya watu hawakumwmini ajabu hata wanafunzi nao hawakujua maana hadi walipo shushiwa roho mtakatifu ndipo wakaelewa nakuanza kufanya kazi kama ya yesu. Wewe sasa hivi unafanana na Sauli lakini ipo siku utakuwa Paul. Amina!
 
Nuhu alihubili miaka 120 mwisho waliokoka watu 7 wafamilia yake tu, yohana pia alihubili na kubatiza lakini wachache walimkubali na kubatizwa, Yesu pia alihubili miaka 25 na kuponya watu hawakumwmini ajabu hata wanafunzi nao hawakujua maana hadi walipo shushiwa roho mtakatifu ndipo wakaelewa nakuanza kufanya kazi kama ya yesu. Wewe sasa hivi unafanana na Sauli lakini ipo siku utakuwa Paul. Amina!

Religion is Mankind opium.
 
Yeye ameombwa atoe andiko linalokataza Watu weusi kuoa wazungu basi. Kama hana la kuongea akahutubie sabatoni na si kwenye TV maana wengine tunataka kuangalia vipindi vya maana. Vipindi si kama wanaangalia wasabato akitaka hivyo aende kwenye matv ya dini yapo mengi tu.

Kinachonistaajabisha unakuta mtu hapendi kipindi lakini anakiangalia mwanzo mwisho😊. Badili channel uangalie show nyingine ili nafsi isikwazike. Vingine vyote kama anakosea sawa na arekebishwe ila la kumtangaza Yesu Kristo na AENDELEE
 
Mimi si Msabato lakini maumbile yetu yanatosha kutuambia baadhi ya mambo......je pombe si kichocheo cha dhambi?Pombe ni sumu kubwa na ni chanzo cha magonjwa kama kansa ikitumika kupita kiasi..
Sipo kumtetea ndodi isipokuwa tusiwe vipofu kwa kutetea maovu....Pombe haifai
 
Angekuwa ananukuu vitabu vya waandishi wengine ungeridhika?Basi utafute kitabu cha mwaandishi umpendaye ili wakati wa kipindi awe ananukuu kwa ajili yako ili uridhike.
 
hakuna kinachoniudhi toka kwa huyu dk ndodi kuliko ile tabia yake ya kucheka cheka! ni mbinu ya kufunika udhaifu wa hoja au mafundisho yake?
 
Simple minded just like Dr Ndodi Non alcohol beer ni pombe? Nyinyi hamuwezi kunywa Baltika?

Kwa macho yangu nishamshuhudia huyu mwinjilisti wa kisabato anapiga whisky pale Tai five, nikaona kumbe huyu miyeyusho tu
 
pombe ni sumu acha, na mtafute ndodi akupe dawa ya kuacha pombe.

kitaalum hakuna dawa ya kuacha pombe, kwa mujibu wa wa ripoti ya W.H.O (1949) ULEVI SUGU (ALCOHOLISM) ni ugonjwa usiokuwa na tiba (CHRONICLE DISEASE like HIV - AIDS, DIABATES, LOW OR HIGH PRESSURE, CANCER ) kudai kuwa wana TIBA YA ULEVI SUGU ni uongo wa mchana kweupee.......
 
Haya ni wakati wa Testimony sasa wanafki waumbuliwe.

Ni bora angekuwa anatumia hata ile slogan ya 'unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako' kidogo tungemwelewa kuliko kutukataza wakti yeye anakunywa huku akishushia na nyama choma ambazo pia anakataza
 
By the way unatukana wasabato lakini wao wanaamini ukweli wa biblia ndodi amekwambia uache pombe Ina madhara kama hutaki kufuata ushauri hauna haja ya kuja kutukana humu jamii forum wewe piga kimya edelea kunywa bia zako ukipata madhara napo piga kimya usimweleze mtu ni hayo tu
 
''Hapo ndio nikahitimisha wewe ni mjinga kabisa na Wasabato sijajuwa hasa tatizo lenu kichwani ni nini hasa?''

Wasabato wameingiaje hapo?

Unafanya kosa lile lile unalolikosoa kwa Ndodi. Unaona mambo kwa ujumla ujumla tu.
 
Back
Top Bottom