linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Kwani bia ina tatizo gani...??? Yani hebu mniambie ndani C2H2OH ndani yake kuna dhambi..??? Tafadhali mtu anieleweshe...
Kinachokataliwa hasa na Biblia ni Alcohol Abuse na siyo alcohol..
Madhara ya kukariri Biblia...
waambie mkuu!! viongoz wao wanakata kilaji bila wacwac...tunawajua