Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 6,777
- 10,344
Hakunaga mabadiliko ya Waziri Mkuu yasiyohusisha kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri.Mheshimiwa Dr Hussein Bashe MP PhD anasubiria kuapishwa baada ya mabadiliko ya Baraza la mawaziri hivi karibuni.