Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 8,278
- 14,402
Hakunaga mabadiliko ya Waziri Mkuu yasiyohusisha kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri.Mheshimiwa Dr Hussein Bashe MP PhD anasubiria kuapishwa baada ya mabadiliko ya Baraza la mawaziri hivi karibuni.