Dr Hussein Bashe MP (PhD) Waziri Mkuu ajae

Dr Hussein Bashe MP (PhD) Waziri Mkuu ajae

Hapo hasara ni kwa walipa kodi!

Utitiri wa PMs wastaafu wanaokunja mafao ya 80% ya aliyeko madarakani maisha yao yote na wenza wao.
 
Bashe hafai kuwa waziri mkuu uwazir wa kilimo tu alishindwa ni mtu mwenye
 
PM mwingine, kwani huyu tuliyenaye amekosea wapi?
 
Kama ingekuwa inawezekana mmoja wapo wa hawa angekuwa waziri mkuu Taifa lingeenda mbali sana

1. Prof.Kabudi
2.Dkt.Bashiru
Kwa Prof. kabudi inawezekana ila kwa Dkt.Bashiru haiwezekani kwa sasa bila mabadiliko ya katiba kutokana na aina ya ubunge alionao
 
Unaweza ukampa uwaziri mkuu.mtu.ambaye alikuwa waziri wa kilimo halafu ana.kiwanda cha.mbolea. huyo si jambazi kama wengine.
Duuh!
Hii habari ya kweli mkuu?
Kisha analazimishwa mbolea za ruzuku akavuruga supply ya mbolea nchini na kuwavuruga wakala wa mbolea bora kabisa kama Yara.
Hatupati mbolea za kampuni ya Yara baadhi ya maeneo tangu uhuni wa mbolea za ruzuku uanze.
 
bora hata ya Bashe aisee , huyu aliyepo kwa sasa dah😂😂😂😂

Bashe akiwa waziri mkuu mjue mtakuwa mnatawaliwa na Rostam Aziz!! Mambo kama haya odio yaliyofanya Lowassa akose kuwa Rais ; kukubali kuwa dalali wa wafanya biashara!
 
Back
Top Bottom