johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nimetafakari sana jambo hili baada ya kupitia taarifa za yule mkurya wa Musoma aliyefisadi mradi wa maji Bunda pamoja na Musoma hotel. Nikasikia kuwa eti huyio fisadi ni mfadhili wa CCM huko " kijijini" Musoma ndio maana anaogopwa hata na vyombo muhimu. Najiuliza ilikuwaje mkurugenzi wa zamani wa Takukuru alisimamia kesi ya Mramba na Yona kwa ufanisi tena bila woga hadi jamaa wakatupwa gerezani?.....Haiwezekani kukopa mikakati na ujasiri wake hata kama alikuwa na mapungufu mengine? Naomba niishie hapo!