Dr. Hassan Mshinda, DG wa COSTECH...

Saidi mwemani mchaga acha kutuhadaa
 
Mn
Mngazija wa Ushelisheli au Mngazija wa Comoro(Ngazija),hebu fafanua
 
Mkuu relax relax au ndo wewe DG,haaaaaaaaaa,kwani mtu anaweza akawa prof lakini kwenye kazi aliyoomba akawa hana vigezo kuwa DR hakumpi qualifiacation kwa kazi alipota miaka hiyo miaka mi3 iliyopita::
ebu toa izo qualification ebu wacha poyoyo tujue kaqualify au la
 
nyie ndio kutwa mada za dini hapa sijui mnatatizo gan nyie jamaa sehemu akiwa muislamu ana cheo amuishi majungu ebu wacheni chuki
 
Kuna watanzania ambao ni vipofu wa akili wakiona hijjab kumi kwenye ofisi wao huita ni ofisini ya upendeleo kwa waislam but hawana data za waislam ni wangapi ktk ofisi hizo.Watz tuacheni fitna hazitotufikisha mbali aloleta uzi huu na wengine kama huyu wana depression.
Iangalie COSTECH kabla na baada ya mshinda ndio ulete upuuzi kama huu au ukitaka zaidi muulize Maxcom atakueleza.Muislam akienda shule kelele,akiongoza kelele akiswali kelele unataka nini wewe usiye na elimu?.Zama zile za zamani zimeisha sasa hivi tunaangalia utanzania sio udini au ukabila.
Waislam ni wazuri kwa kuoa kwa hiyo ukipiga piga kelele kama hizi shauri yako.
 
Saidi Mwema....Said Mwema ni mkwe're wa kutoka kijiji cha Mwetemo Bagamoyo (kati ya Kiwangwa na Msata).
...Anhaaa! Kumbe!
 
Huyu Dr Mshinda alisoma Medical Laboratory Diploma Miaka ya 1977-79 Muhimbili Central Laboratory. He was a kind person generally to all by then sisi tulikuwa tunasoma faculty tofauti naye...
 
Acheni majungu, nilifanya kazi COSTECH around 2005, hakukuwa na chochote cha maana wanachofanya zaidi ya kupiga deal tu

Angalau siku hizi naona kuna barua zinatoka kwenda UD,MUST DIT na NM-AIST kuhusu entrepreneurship competition na scholarship kibao!
Kwa sasa wanasimamia bootcamp kibao nchini! Kuna project kibao za kilimo zinaendelea, na wanamasponsor wengi zaidi!

Tatizo lenu mnaona dini yavmtu kwanza badala ya utendaji
Acheni majungu, kama katumbua majipu nayy apongezwe sio kwa sbb yy muislam basi hatakiwi kutumbua majipu
 
Mkuu,

Tatizo letu kubwa ni Udini Yaani katika awamu hii ukiwa na jina la Hassan, Salum, Mohammed, Ramadhan, Juma, Yahya, Abeid, Karim etc hata ukafanya kazi nzuri tena kwa weledi utaambiwa ni mdini naona tunakoelekea siyo kuzuri kabisa maana hata ugaidi chanzo chake kikubwa ni kuona mtu au jamii fulani inadhulumiwa hivyo kutafuta njia mbadala kujisaidia

Nachelea kusema kwa mwendo huu wa kibaguzi hatupo mbali tutatoana ngeu tena muda si mrefu.

Rai yangu kwenu tusiangalie dini tuangalie sifa na uwezo wa mtu itatusaidia sana kuendelea kujenga nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…