amesawahi lihombea urais wa Daruso.ameshakaimuDr. Kahangwa ni mt makini sana lakini nafasi anayoitaka ni kubwa mno kwake maaana sina uhakika hata kama ameshawahi kuwa mkuu wa Idara anapofanyia kazi zaidi ya vyeo vya UKANJANJA kwenye NCCR SACCOS
Nimefuatialia kidogo kwa sasa, naambiwa mgombea mtarajiwa huyu
Alikuwa best student UDSM 2004, shahada ya awali,
Ana Masters kutoka University moja huo Finland
Ana PhD kutoka Uingereza, sandwich ya uchumi na elimu
Msomi kuliko nani? Labda kama unalinganisha na MwiguluHuyu ni msomi apewe nafasi ya kugombea urais Ukawa
Umekosea, aliyegombea ubunge Karagwe sio huyu wa UDSMAnhaaa, sasa nimeelewa. Kama sikosei huyu aligombea Ubunge karagwe safari iliyopita (Kama nimekosea nirekebishwe).
My take: Kuna mtindo umeibuka kwa wana siasa wengi (Orodha ni ndefu.....Kigwala ngwala, WaHasira, Ma Kamba ya Katani, Gereza, Rahisi Kabue, ....nk) kutangaza nia ya kugombea URAIS kumbe lengo lao liwe ubunge. Ni kujaribu kujenga taswira KUUUUBWA kwamba ni presidential material, ili kumbe wawe wabunge.......
Umekosea, aliyegombea ubunge Karagwe sio huyu wa UDSM
Endelea kufuatilia utamjua. By the way, the best president ever wa Tanzania hakuwahi kuwa mbunge. Usikaririshwe.Kama siye huyu, ni NANI basi? Na tena kama HAJAGOMBEA hata Ubunge, URAIS ataweza? Atafika wapi? Tuache utani, labda agombee kama mgombea binafsi, siyo kupoteza nafasi adhimu ya UKAWA!
ACT wanatafuta mgombea, ajaribu huko.Kama siye huyu, ni NANI basi? Na tena kama HAJAGOMBEA hata Ubunge, URAIS ataweza? Atafika wapi? Tuache utani, labda agombee kama mgombea binafsi, siyo kupoteza nafasi adhimu ya UKAWA!
Muhongo tena!Mbona muhongo wewe. Ila koz no tetesi ngoja nikupotezee
Kutoka UDASA hadi kuwa rais wa JMT? Watu wanauchukulia poa uraisamesawahi lihombea urais wa Daruso.ameshakaimu
ukuu wa idara kwa miezi sita,sasa no mmoja wa viongozi wa udasa