- Thread starter
- #101
Nimefuatilia sana siasa za Tanzania kwa muda mrefu na mafanikio ya upinzani. Naona Dr George Kahangwa ni mtaji wa UKAWA kwa sababu zifuatazo:
1. Katika uchaguzi huu vijana ndio msingi wa ukawa na Dr George Kahangwa anawakilisha rika la vijana
2. Wagombea wengine walishagombea (DR Slaa, Mbowe, Prof. Lipumba) chaguzi zilizopita wakagaragazwa na CCM hivyo hawana hoja mpya
3. Upya wake kama mgombea wa upinzani, CCM hawana hoja la kumpiga nalo maana hana makovu na makundi.
Tujadili hoja tuache matusi
Asanteni
1. Katika uchaguzi huu vijana ndio msingi wa ukawa na Dr George Kahangwa anawakilisha rika la vijana
2. Wagombea wengine walishagombea (DR Slaa, Mbowe, Prof. Lipumba) chaguzi zilizopita wakagaragazwa na CCM hivyo hawana hoja mpya
3. Upya wake kama mgombea wa upinzani, CCM hawana hoja la kumpiga nalo maana hana makovu na makundi.
Tujadili hoja tuache matusi
Asanteni