Wakuu,
Tetesi kutoka UDSM main campus ni kwamba mmoja wa madaktari vijana wa falasafa Dr George Leonard Kahangwa huunda akachukua fomu kugombea urais wa JMT kupita muungano wa UKAWA (Chanzo watu walio karibu na mgombea mtarajiwa). Namtakia kila la heri katika uthubutu huu.
Tetesi kutoka UDSM main campus ni kwamba mmoja wa madaktari vijana wa falasafa Dr George Leonard Kahangwa huunda akachukua fomu kugombea urais wa JMT kupita muungano wa UKAWA (Chanzo watu walio karibu na mgombea mtarajiwa). Namtakia kila la heri katika uthubutu huu.