Mgombea wa UKAWA lazima atokane na CHADEMA , CUF , NCCR, au NLD, huyo jamaa yako yeye ni chama gani?
Maana UKAWA sio chama cha siasa, ni muunganiko wa wasaka madaraka!
Kumbuka hiyo ni haki yake ya kikatiba
Wakuu,
Tetesi kutoka UDSM main campus ni kwamba mmoja wa madaktari vijana wa falasafa Dr George Leonard Kahangwa huunda akachukua fomu kugombea urais wa JMT kupita muungano wa UKAWA (Chanzo watu walio karibu na mgombea mtarajiwa). Namtakia kila la heri katika uthubutu huu.
Yeye atangaze kugombea kupitia chama chake na chama chake ndicho kitampendekeza UKAWA kama wataona anafaa. Hivi tumefikia kipindi cha kuongozwa na teja kweli?!! au mnafanya mzaha tu.Haya mambo ya kutangaza nia pelekeni CCM kwani UKAWA wana utaratibu wao na kama mgombea hata hajui utaratibu huo, huyu hafai kuwa mgombea.
Wakuu,
Tetesi kutoka UDSM main campus ni kwamba mmoja wa madaktari vijana wa falasafa Dr George Leonard Kahangwa huunda akachukua fomu kugombea urais wa JMT kupita muungano wa UKAWA (Chanzo watu walio karibu na mgombea mtarajiwa). Namtakia kila la heri katika uthubutu huu.
omarilyas, nashukuru huo ni mtazamo wako. Hao unaowafikiri wewe wanatumia akili ya wapi?George Kahangwa.... A class brain but inapokuja kwenye Uongozi na tena uongozi wa nchi huu ni utani usio tija!
Kutoka UDASA hadi kuwa rais wa JMT? Watu wanauchukulia poa urais
Yeye atangaze kugombea kupitia chama chake na chama chake ndicho kitampendekeza UKAWA kama wataona anafaa. Hivi tumefikia kipindi cha kuongozwa na teja kweli?!! au mnafanya mzaha tu.Haya mambo ya kutangaza nia pelekeni CCM kwani UKAWA wana utaratibu wao na kama mgombea hata hajui utaratibu huo, huyu hafai kuwa mgombea.
Mtei hawezi kukubali
mkuu mtoa mada naomba utupe CV ya huyo mgombea wetu mtarajiwa.
Wakuu,
Tetesi kutoka UDSM main campus ni kwamba mmoja wa madaktari vijana wa falasafa Dr George Leonard Kahangwa huunda akachukua fomu kugombea urais wa JMT kupita muungano wa UKAWA (Chanzo watu walio karibu na mgombea mtarajiwa). Namtakia kila la heri katika uthubutu huu.
Anaonekana kwenye picha, wakati viongozi wa nccr walipofanya mazungumzo na Rais anayeelekea kumaliza muda wake. Mtu wa pili baada ya Mbatia...
Mmm, wewe hapo unamtaja yupi kwenye picha? Tatizo liko wapi kwenye mavazi yake?Kwa namna alivyovaa tu haonekani kama ni mtu makini..