Dr. Didas Masaburi njia nyeupe Bungeni

Dr. Didas Masaburi njia nyeupe Bungeni

Leo mbunge mteule Saed Kubenea amemaliza kazi, huyo makalio atakiona cha moto
 
Nilipita mitaa ya Ubungo hali niliyokutana nayo sioni Masaburi akifurukuta hata kidogo sana sana akipata 15% nitashangaa Dar watu wameamua kuikataa CCM na mambo yake.

Mkuu ulio waona ubungu nahakika ni wafanyabiashara ndogo ndogo na sio wakaazi wa ubungo yenyewe

Masaburi anachukua jimbo kweupee
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.


Mkuu unaharibu kazi, sio Masabuli ni Masaburi.
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.

Jimbo la Kubenea hilo ww
 
Tehe! Tehe! Tehe!! Eti Masaburi MTENDAJI MZURI!! Toa Mifano, Amefanya Nini Akiwa Meya Wa Jiji La Dar!!!!? Sio MIPASHO Tu, Tuambie Amefanya Kipi, Hata TUAMINI Kuwa Ni MTENDAJI!!! Au Huko Kugombea Yeye Na Mtt Wake Janet Masaburi!!!!!!???? Eti Waende BUNGENI Na Bint Yake!!! Ndorooobai!!! Kama Tatizo La MAJI, UCHAFU, BARABARA, UBT N.k. Hivyo Vyoote Vilikuwa CHINI Ya Mamlaka Ya Jiji AMBALO YEYE Ndiye Alikuwa Meya Wake, Je, Amefanya Kipi!!! ZAIDI Ya Kuliacha Jiji Na UGONJWA Wa KIPINDUPINDU!!!! Jiji Looote Shida Zake ZINALINGANA, Kuanzia MAJI, BARABARA, DAWA, HOSPITAL, MADARASA, MADAWATI, MAJI TAKA, TAKATAKA N.k Nenda Jimbo La Ilala Kila KONA Majitaka Barabarani!!! Je, Nalo Ni La Upinzani!!!!!???
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.

Thubutu!
Hili jizi na tapeli haliwezi kushinda ubunge ubungo. Mimi mkazi wa ubungo shekilango nakuhakikishia hilo. Kila akipanda jukwaani anazomewa.
 
endelea kuota ataisoma namba huyu si yule ananunua tsht ZA UKAWA anawapa watu wafanye uhuni ..... WATAKAOMPA KURA WAKAPIMWE UBONGO ZAO
 
Nilipita mitaa ya Ubungo hali niliyokutana nayo sioni Masaburi akifurukuta hata kidogo sana sana akipata 15% nitashangaa Dar watu wameamua kuikataa CCM na mambo yake.

Hili ndilo tatizo la UKAWA. kama ulipita ubungo stand wale sio wapiga kura wa ubungo. Na pia watu wengi wa mitaa ya kariakoo na soko lake sio wapiga kura wa Ilala.
 
Safari hii chadema hawana chao kwa majimbo ya hapa dar. watulie tuwanyooooshe vizuri
 
kama huyu ndio/alikuwa meya wa jiji la Dar basi ndo chanzo kipindupindu hapo town
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu Masaburi anaweza kushindana na Kubenea kweli???Kubenea anachukua kirahisi sana
 
masaburi ;juu
681326465510382266
 
Wabunge wa Dar es Salaam wanawaza kwa kupitia......masaburiiiiii!!!! :
 
Wabunge wa Dar es Salaam wanawaza kwa kupitia......masaburiiiiii!!!! :

Meaning aliwatukana waliowachagua pia indirectly then mtu huyo huyo leo anawaomba kura hao hao aliowatukana just 2 yrs ago.

Sisi wapiga kura wa dar tunasema tusi lilelile alilotutukana limrudie na kura hatumpi ili next time awe na heshima.
 
Back
Top Bottom