CCM ushindi ni uleule
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.
Kwa vichekesho na usanii wengine wenu hamwezekani. Katika kichwa cha thread umeandika vizuri kabisa Dr. Didas Masaburi lakini kwa makusudi ndani ya thread hiyo hiyo unamwita Masabuli! Halafu unaamini umejificha! Una tofauti gani na mbuni anayeficha kichwa mchangani bila kujua huku nje kaanika kila kitu? Ha ha haaa...!Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CCM anategemewa kupata ushindi mnono kutokana na historia yake kiutendaji, Masabuli atakuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu katika kuhakikisha wakazi wa Ubungo wanapata huduma stahiki za kijamii tofauti na hapo awali.
Ilala ndio jimbo pekee litaenda CCM.
Huko kwingine tegemeeni maumivu.