Wananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr. Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF.
Je, huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
Cc: THE BIG SHOWWananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr. Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF.
Je, huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
Kumtumbua ni kukosa uzalendo?Ni jambo la wakati tu maana kwa jinsi tunavyozidi kushuhudia madudu kutoka nssf naamini mh rais atakosa uzalendo na kuamua kufumba macho ili amtumbue tu