Dr. Dau yupo balozi nchi gani?

Dr. Dau yupo balozi nchi gani?

Fikira chovu nyumbangkeun kwako kunaharibika then unasema baba hausiki ni uchuro huo
 
Wananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr. Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF.

Je, huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?

Balozi wa nyumba 10
 
Wananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr. Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF.

Je, huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
Cc: THE BIG SHOW
 
Malaysia hawajajibu barua yetu ya kuwataarifu kumteua Dk Dau kuwa balozi kule. Ni miezi minne sasa
 
Ni jambo la wakati tu maana kwa jinsi tunavyozidi kushuhudia madudu kutoka nssf naamini mh rais atakosa uzalendo na kuamua kufumba macho ili amtumbue tu
Kumtumbua ni kukosa uzalendo?
 
Back
Top Bottom