Ubalozi ni hadhi,sio lazima upangiwe nchi,anaweza kutumwa na Rais sehemu yoyote ile duniani au anaweza kubaki na hadhi yake ya kibalozi hadi kufa kwakeWananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF. Je huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
Dau sio hadhi yako wala levo yako utapata kisukari bure kumfuatilia