Dr. Dau yupo balozi nchi gani?

Dr. Dau yupo balozi nchi gani?

Nshonzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
3,057
Reaction score
1,882
Wananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr. Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF.

Je, huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
 
If he was involved in these issues angekamatwa na kufikishwa katika vyombo vya sharia but haajakamatwa means hakuhusika period
Auto-pilot may not be needed here but strategic piloting.
 
Kama bado yupo dsm tunategemea mzee wa kutumbua basi huu ni wakati mzuri wa kumtumbua huyu dau kwa kushindwa kusimamia taasisi nyeti kama hii ya nssf na sasa kila kukicha tunaona mabilioni yametafunwa
 
If he was involved in these issues angekamatwa na kufikishwa katika vyombo vya sharia but haajakamatwa means hakuhusika period
Ni jambo la wakati tu maana kwa jinsi tunavyozidi kushuhudia madudu kutoka nssf naamini mh rais atakosa uzalendo na kuamua kufumba macho ili amtumbue tu
 
Wananchi kwa sasa tunajiuliza huyu Dr Dau ambaye alikuwa ni kiongozi mkubwa wa NSSF shirika ambalo lina jukumu ya kuhifadhi michango yetu ya kila mwezi, tumeambiwa amepewa ubalozi lakini hadi sasa hatujaambiwa ni nchi gani, huku nyuma tunashuhudia ufisadi mkubwa ukiibuliwa kwenye NSSF. Je huo ubalozi ni kichaka cha kumficha kumuokoa na kutumbuliwa?
...ni balozi wa ile nchi ya kufikirika
 
Back
Top Bottom