Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

Sijamuelewa Zomba,anataka tuwe na CT scan au anataka tuendelee kununua mashangingi ambayo mwaka 2010 moja likuwa siyo chini ya $100,000 ukiweka na ushuru na blablah.Mwaka jana mbeya imepoteza mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne kwa kukosa CTscan,kama tunaweza kuhamisha pesa kwenda Uswis kwa nini tuzinunue vifaa muhimu vya hospitali?Tusiangalie jana ilikuwaje,bali leo tunafanyaje?
Viongozi wa Serikali yetu inatakiwa kuwa wakali na walaji pesa za watanzania.Hivi kama wakiondoa sitting allowance za wabunge kwa miezi hii mitatu tutaserve kiasi gani ili tuweze kuboresha hospitali zetu?
Hivi ni haki mbunge tuliyemtuma kutetea maslahi yatu yupo kwa ajili ya maslahi yake zaidi?
Mie nadhani tuangelie hili kwa mapana zaidi tukalijadili badala ya kulaumu madaktari,kuwatukana na hata kuwatesa bila sababu.Tuone ni kwanini tusiwe na huduma bora za afya na siyo bora huduma?
Kwa nini keki ya taifa tuzigawane kwa haki?
Wanasema hivi ukila na kipofu usimshike mkono............

Wewe unakuja na mada mpya, soma kichwa cha habari na post #1 inasemaje. Kama una mada mpya anzisha nyuzi tutakuja amma kukupa darsa amma kukuunga mkono, usiwe na shaka na usibadili hoja, tutakuwa hatufiki.
 
hapana nimeisoma zile shule zetu za al-haramain al-multaz al-queda na al-Shabab tumejifunza kugomea sensa kudai kadhi mkuu, kula pilau na juice ya miwa kuvaa gobazi Pamoja na visuruali vifupi

Ficha Upumbavu wako; Usifiche Hekima yako!
Invisible

Uliona mbali mkuu!
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa: the compute tomography machine costs depends upon the technology systems siemens ------------------200000 usd approx toshiba -------------------180000 usd approx beckam coulter------------250000 usd approx sharp------------------------200000 usd approx ge----------------------------300000 usd approx phillips ----------------------140000 usd approx Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball. There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.
Wewe Zomba!!kweli ni mweh* na huna akili sawasawa hivi unajua 200000 USD ni sawa na shilingi za bongo?na hayo mashangingi yanagharimu kiasi gani na tunayo mangapi hapa nchini?mbona mvivu wa kufikiri ww?
 
Wewe Zomba!!kweli ni mweh* na huna akili sawasawa hivi unajua 200000 USD ni sawa na shilingi za bongo?na hayo mashangingi yanagharimu kiasi gani na tunayo mangapi hapa nchini?mbona mvivu wa kufikiri ww?

Soma kichwa cha habari kinasemaje usibadili mada. Wacheni kuwa uongo.

"Dr.Chitage:Mashine moja ya CT scan nisawa na bei ya Toyata shangingi moja."
 
Halafu Dr. Ulimboka anateswa aseme nani yuko nyuma ya mgoma wa madaktari......Usimtafute mchawi ni nyie wenyewe. Niliposikia bei ya CT Scan moja nilichoka, kwamba nchi nzima haina mpaka mtu apelekwe nje. jamani....
 
ct scan siyo bei ya shangingi moja ni uongo uliopitwa na wakati. Siku hizi una google tu unapata bei, naona aliyeleta huu uongo alikuwa hajui kama kikwete kaeneza mitandao ya bei rahisi mpaka vijijini. Siku hizi hatudanganyani, tuna google tu.

toa bei yake
 
Halafu Dr. Ulimboka anateswa aseme nani yuko nyuma ya mgoma wa madaktari......Usimtafute mchawi ni nyie wenyewe. Niliposikia bei ya CT Scan moja nilichoka, kwamba nchi nzima haina mpaka mtu apelekwe nje. jamani....

Bei ya ct Scan moja ni ngapi?
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Mbona sioni sababu ya serikali kushindwa sasa kwa hesabu hizo........
 
Mbona sioni sababu ya serikali kushindwa sasa kwa hesabu hizo........

Nasema hivi, ni uongo kuwa CT scan moja bei sawa na shangingi moja.

Kama wameweza au wameshindwa hiyo ni mada nyingine. Hapa nilikuja kuonesha kuwa mleta mada au huyo daktari, mmojawapo ni muongo. Upo hapo ulipo? Kama unataka kujuwa au wameweza funguwa nyuzi yake.
 
Ningependa kujua bei za mashine mbalimbali za afya ili nilinganishe na vitu ambavyo serikali inavipa kipaumbele km. mashangingi na matamasha.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2

kaka ungenitajia hizo mashine ninge anzisha thread ya hizo kitu pamoja na bei zake!
plz ni pm majina ya hizo mashine.
 
Nasema hivi, ni uongo kuwa CT scan moja bei sawa na shangingi moja.

Kama wameweza au wameshindwa hiyo ni mada nyingine. Hapa nilikuja kuonesha kuwa mleta mada au huyo daktari, mmojawapo ni muongo. Upo hapo ulipo? Kama unataka kujuwa au wameweza funguwa nyuzi yake.

Hapo vipi?
the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.
 
Hapo vipi?
the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Hiyo nimeileta mimi, umesahau? isome vizuri halafu useme inagharimu shillingi ngapi na VX shillingi ngapi? au Kiingereza kinakupiga chenga ya mwili?

Na Serikali imeleta si hiyo tu, hata more advanced ambayo ni MRI. Inaonesha hupitii posts za mwanzo huko kwenye nyuzi, usingehangaika kuujuwa ukweli.

Katika madai 12 ya wagonjwa ni moja tu linalohusu uboreshaji wa huduma za afya kwa mgonjwa. 11 yote yanadai mafao ya daktari. Kikwete anasema, kama unaona mshahara uliopo haukufai wewe ambaa tu. Kulikoni?
 
Katibu wa jumuiya ya madaktari nchini ameweka wazi kuwa bei ya mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya kununulia shangingi moja.Alisema kama serikali ingekuwa na nia ya kununua mashine hiyo isingeshindwa. kwa habari zaidi soma gazeti la mwananchi la leo. Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze. Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo. Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!

ukistaajabu ya musa utaona ya firauni ,,,,,kiongozi mkubwa wa serikalini kufurahia CT-scan ya private huku akijua kuwa hospitali kubwa ya umma kuliko zote tanzania hamna CT-Scan....shame on them..........
Hali ya Dkt. Mukangara inaendelea vizuri.

Akiongea na Globu ya Jamii sasa hivi yupo Dar es salaam alikorejea jana jioni na kupata matibabu zaidi katika kitengo cha mifupa cha MOI hospitali ya Muhimbili. Amesema baada ya kuchukuliwa vipimo vyote, ameonakana hana madhara mwilini zaidi ya michubuko na majeraha mengine madogo. Anashukuru kwamba wote walikuwa wamefunga mikanda na kwamba air-bags za gari hilo zimeokoa maisha yao.

Amewashukuru sana madaktari wa Nzega na wa kitengo cha dharura cha Muhimbili ambao walimhudumia pamoja na wa hospitali ya Regency alikopatiwa vipimo vya CT-Scan. Pia anawashukuru Watanzania wote waliomuombea apate nafuu, wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

Source: wavuti - wavuti
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Ume prove kwamba jamaa ni mkweli. Ndiyo matatizo yenu nyie bongolala. Bei ya shangingi moja ina vary from USD 140,000 to 200,000. Piga hesabu sasa Raisi, makamu,waziri mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu wakuu wa wizara n.k
 
Ume prove kwamba jamaa ni mkweli. Ndiyo matatizo yenu nyie bongolala. Bei ya shangingi moja ina vary from USD 140,000 to 200,000. Piga hesabu sasa Raisi, makamu,waziri mkuu, mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, makatibu wakuu wa wizara n.k

Naona una matatizo ya kusoma Kiingereza, umeshaongez ahapo bei ya chumba cha CT scan, ambacho huwa sio cha kawaida, soma chini hapo, ni ngapi hizo? umeshaweka gharama za kuwafundisha wataalaam wa hiyo mashine, ile sio kama shangingi unapiga start unaondoka. Hapo kama hauna $1M kwa kuanzia, wala usijihangaishe kuitafuta. Nna uhakika wewe ni zao la NECTA.
 
Back
Top Bottom