Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

Utasikia mijinga kule bungeni inasimama na kusema kwanza naunga mkono 100 kwa 100....wakati issues zinazo matter the most hazipewi kipaumbele. SHAME Bunge la viti maalum.

Wabunge wengi wa CCM wamekuwa kama madodoki, wananyonya kila kitu! Ni vigumu kuwatofautisha kielimu na wanafanya kazi kama "robot". Wamesumishwa na rushwa na wanafikiri kwa kutumia matumbo na kwato! Wangekuwa makini wasingeiunga mkono bajeti ya kijinga hii kwa "asilimia mia kwa mia" na baadhi yao "mia tatu." Shame unto them!!!
 
"Shangingi moja sawa na zahanati nne"Dr. Slaa..."Shangingi moja sawa na CT SCAN moja"Dr.Chatage..Shida tumejitakia wakati tuna mashangingi kibao
 
zomba, kama nimekupata vizuri ni kwamba unasema baba aendelee kula hotelini kwa sababu jiko ni bovu!

Kama taifa ni lini tutaacha kuhemea kwa wanaume wengine waliowekeza kwenye CT-Scan machine na makorombwezo mengine? Omba omba kuanzia vyandarua mpaka vipimo/matibabu! Lakini ni kweli Tanzania haina uwezo huo? Ulishaona magari wanayotumia viongozi wa India?

Unachoshindwa kuelewa ni kuwa nchi hii iliuliwa kifo kibaya sana, toka tulikuwa wasafirishaji wa kwanza wa mazao ya kilimo katika Afrika mpaka kuwa maskini wa kwanza katika Afrika, kwa miaka 24 tuliyafanya hayo tu, ya kuibomoa bomoa nchi. Leo hii tunaona yanayofanyika, leo Tanzania ya Kikwete tuna miradi ya barabara kuliko nchi yoyote ya Afrika Mashariki na kati na pengine ni Afrika nzima. Leo Tanzania hii iliyokuwa hohehahe tuna CT scan na MRI za bure.

Leo Tanzania hii iliyokuwa maskini wa mwisho duniani tuna akiba ya chakula. Leo Tanzania hii hii tuliokuwa tunaletewa msaada mpaka unga wa uji (wa manjano) leo tuna uwezo wa kuuza mahindi nje ya nchi.

Nakuhisi ni mtoto mdogo sana na hujui tulipotoka na ndio maana huwezi kuthamini leo tuko wapi.

kubomoa rahisi kuliko kujenga. Nyumba inayobomolewa kwa siku moja inachukuwa mwaka kuijenga. Sasa fikiri nchi iliyobomolewa kwa miaka 24 itakuchukuwa miaka mingapi kuijenga? ukipata jibu ukubali kuwa, Kikwete anafanya miujiza kwa jinsi anavyotuletea maendeleao ya haraka haraka na ya rekodi katika kila nyanja. Ukweli ubaki kuwa ukweli na tuwache uongo.

Wengi roho zinawauma kwanini leo huyu aweze waliposhindwa tunaofikiri kuwa ni watakatifu. Hakuna zaidi ya hilo, ni roho za kichawi tu.

Tuongelee afya kabla ya Kikwete na leo. Takwimu tu zinawasuta.
 
"Shangingi moja sawa na zahanati nne"Dr. Slaa..."Shangingi moja sawa na CT SCAN moja"Dr.Chitage..Shida tumejitakia wakati tuna mashangingi kibao
 
Na hizo safari anakwenda kucheza huko? leo hii una mashine ya CT scan, kabla ya Kikwete ulikuwa hata huijui ni nini? leo hii una mtambo wa MRI ambao kabla ya Kikwete ilikuwa ni lazima uende Nairobi, au hilo hulijui? Leo unachuo cha kufundisha namna ya kutibu na kufanya upasuaji wa moyo, au hilo hulijui? leo Muhimbili una jengo la "outpatient" bora katika Afrika Mashariki, au hilo hulijui? leo Muhimbili una chumba cha matibabu ya meno bora katika afrika mashariki, kwa vifaa, urahisi na utaalaam, au hilo hulijui? unajuwa kuwa watu wanatoka Afrika mashariki nzima kuja hapa kutibiwa meno? au hilo hulijui? Unajuwa kuwa watu wanatoka Afrika mshariki na ya kati na maka Middle East kuja hapa kutibiwa baddhi ya kansa> au hilo hulijui? na hayo yote ni wakati wa Kikwete. Au hilo hulijui?

Tazama hii:https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/136909-ct-scan-mri-muhimbili-buree.html

Ukimaliza, fananisha na hii: How much does an MRI scan cost?


Huyo ndio Kikwete na hizo ndio safari anazozifanya, kwa faida yako na yangu na ya Watanzania wote.

Leo MRI hata US inagharimu si chini ya $ 500 kwa kipimo Tanzania ya Kikwete unafanyiwa kwa ngapi? fata link hiyo ya kwanza, halafu uje kuniambia wale waliokuwa kabla ya Kikwete walikuwa wapi? wamekaa tu ofisini wana saini makaratasi?

Upo sahihi kiasi, lakini unakosea pale unapoegemea matokeo bila ya kujumuisha 'nguvu' iliyotumika kupata hayo matokeo. Chochote tulichonacho kwenye hospitali zetu kinalangana na uwezo tulionao? Hapa nataka nikumbushe mashimbo (madini), uvuvi, wanyama hai, EPA etc. Na hata hiyo CT-scan serikali ina deni kubwa na mbaya zaidi haifanyi kazi.

Na kama kweli tunaamini kuwa tuna hatua nzuri kwenye sekta ya afya i.e best outpatient building in EAC ni vema tukajiuliza, hii traffic ya wakubwa kwenda India na Ujerumani wamepotea njia?
 
Mimi nasema hii habari ni uongo..na huyu dokta ni muongo sana..kwa nini?
kwanza wanao weza kuendesha machine za CT scan ni wachache
na mfano kwa hospital ya muhimbili CT SCAN inayofaa ni 64 slice CT mabayo ina cost zaidi ya USD 500,000
na bei hii ni mbali na training
warranty
installation na training ambazo nazo zinaweza kufikia usd 200,000 extra
hapa hujaweka maintanance fees kila mwaka
sasa hapa ndio maana nikasema ni uongo
ni hospital chache tu hapa tanzania za private ndio zimeweza kuweka machine hizi
lakini tuje za serikali..pale muhimbili kuna kila kitu, mpaka machine mpya za kufanyia heart srgery,
pale pana machine mpya ziliwekwa za dialysis kwa wagonjwa wa mafigo
lakini pale muhimbili ukienda watakwambia nenda regency kafanye ct scan
sisi hatufanyi dialysis japo machine tunazo
kuna matatizo sana katika utendaji wa hawa madaktari
kila kitu kikiwekwa pale muhimbili hakifanyi kazi
madaktari watueleze kwa nini
wana fanya maksudi ili wapate commiosion waki kupeleka sehemu nyengine kufanya ct scan ama kusafisha figo
hawa ndio madaktari wetu
wamechangia sana kuua sctor hii
hata serikali ifanye nini
 
Wabunge wengi wa CCM wamekuwa kama madodoki, wananyonya kila kitu! Ni vigumu kuwatofautisha kielimu na wanafanya kazi kama "robot". Wamesumishwa na rushwa na wanafikiri kwa kutumia matumbo na kwato! Wangekuwa makini wasingeiunga mkono bajeti ya kijinga hii kwa "asilimia mia kwa mia" na baadhi yao "mia tatu." Shame unto them!!!

Tatizo lenu huwa mnaongea kama vile hamjaenda shule za St. Kayumba, au ndio NECTA?

Hivi ni nini unachotaka kukisema.
 
Nashindwa kuamini kama daktari anaweza kuwa muongo kiasi hiki. Mimi nadhani mleta mada ndio anaesema uongo.
 
Tatizo lenu huwa mnaongea kama vile hamjaenda shule za St. Kayumba, au ndio NECTA?

Hivi ni nini unachotaka kukisema.
hapana nimeisoma zile shule zetu za al-haramain al-multaz al-queda na al-Shabab tumejifunza kugomea sensa kudai kadhi mkuu, kula pilau na juice ya miwa kuvaa gobazi Pamoja na visuruali vifupi
 
Upo sahihi kiasi, lakini unakosea pale unapoegemea matokeo bila ya kujumuisha 'nguvu' iliyotumika kupata hayo matokeo. Chochote tulichonacho kwenye hospitali zetu kinalangana na uwezo tulionao? Hapa nataka nikumbushe mashimbo (madini), uvuvi, wanyama hai, EPA etc. Na hata hiyo CT-scan serikali ina deni kubwa na mbaya zaidi haifanyi kazi.

Na kama kweli tunaamini kuwa tuna hatua nzuri kwenye sekta ya afya i.e best outpatient building in EAC ni vema tukajiuliza, hii traffic ya wakubwa kwenda India na Ujerumani wamepotea njia?

Kijana naona tunaanza kurusha hoja. Kama unaona nipo sahihi kwenye hili, tukubali kwenye hili Kikwete kafanya zaidi ya mwingine yoyote. Tukubali kwa nia safi kabisa. Tukimaliza hapo turukie hayo mengine, tutaona pia, kabla ya Kikwete na wakati wa Kikwete ilikuwaje? halafu tutoe hukumu.

Mimi kila siku huwa nasema humu, jamani "mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Njia rahisi ni kutazam tu wa kabla ya Kikwete na kufananisha na aliyoyafanya yeye. Tukianza kumfananisha Kikwete na Obama tutakuwa hatutendi haki, tuanzie hapa hapa nyumbani.
 
Huyu nae eti kabla ya kikwete kulikuwa hakuna Ct scan!!! Kabla ya Kikwete kulikuwa hakuna miaka hamsini ya uhuru.
 
Mkuu haujapanda shangingi ukaona raha yake, hata hizi ndege za precisian hazina raha kama mashangingi

kweli aseee jamaa hawajuiutamu wa shangingi hao..hawaoni maige anavolalamika..kisa kulikosa shangingi..
 
ati kabla ya jk hukua na ct scan

naona mtu analazimisha technology advancement iwe imeletwa na jk

mwisho utasema ipads zimekuja coz jk yupo madarakani

Naona hujui ulisemalo. Soma vizuri post yangu utanielewa.
 
Kingine hapa kwetu madokta wana tabia ya kuharibu mashine ili watu watumie za kwenye kliniki zao binafsi, hilo la CT ya muhimbili ni mfano mzuri tu...wao madaktari mbona hawajairekebisha hiyo CT miezi yote hiyo ilivyokuwa mbovu? au hilo swala hadi serikali kuu ihusike vilevile kwa mshine za Xray swala ni hilohilo...sasa kama wanaletewa vifaa halafu utunzaji inakuwa issue nani alaumiwe hapo?
 
hapana nimeisoma zile shule zetu za al-haramain al-multaz al-queda na al-Shabab tumejifunza kugomea sensa kudai kadhi mkuu, kula pilau na juice ya miwa kuvaa gobazi Pamoja na visuruali vifupi

Nnachokiona ni kuwa mmejifunza ugaidi wa kuwaweka rehani wagonjwa wetu.
 
ati kabla ya jk hukua na ct scan

naona mtu analazimisha technology advancement iwe imeletwa na jk

mwisho utasema ipads zimekuja coz jk yupo madarakani

Huyu nae eti kabla ya kikwete kulikuwa hakuna Ct scan!!! Kabla ya Kikwete kulikuwa hakuna miaka hamsini ya uhuru.

By Matern Kayera and Sharifa Kalokola
Looking at the high tech buildings and equipment at Muhimbili National Hospital, it is hard to believe
...

Tafuteni ukweli utawaweka huru, huu ni wakati wa nani? soma zaidi: Muhimbili
 
inasikitisha sana...kwa gharama tu serikali iliyotumia kusheherekea miaka 50 ya uhuru sijui wangenunua ct scan ngapi?
Nimependa hii. Bajeti ya uhuru tungepata CT Scan angalau mpaka wilayani! Hawa jamaa wantia kinyaa sana.
 
Kingine hapa kwetu madokta wana tabia ya kuharibu mashine ili watu watumie za kwenye kliniki zao binafsi, hilo la CT ya muhimbili ni mfano mzuri tu...wao madaktari mbona hawajairekebisha hiyo CT miezi yote hiyo ilivyokuwa mbovu? au hilo swala hadi serikali kuu ihusike vilevile kwa mshine za Xray swala ni hilohilo...sasa kama wanaletewa vifaa halafu utunzaji inakuwa issue nani alaumiwe hapo?
Maktari nao pia ni NUKSI SANA. Mara ngapi nao wanauza madawa yetu! Wao na serikali wote ni tatizo tu.
 
Na Uwanja wa Taifa!?? Haukuwepo mpaka JK.? Zomba wewe ni Mdini na Unatetea yale yale ya Sheikh PONDA... EMPTED THING. Tunazungumzia Kuletwa kwa CT scan.

Si Malumbano ya Majukwaani hapa
 
Back
Top Bottom