Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Ahaaaa kumbe mnajua biblia ni maneno ya kweli ya Mungu yenye kuleta uzima wa milele..
Kama mnaamini biblia kwanini hamuitumia msikitini?(Najua hua mnakaa nazo biblia na hua mnasoma miujiza ya Ya Yesu sio Issa)

Ndo muone uwezo wenu wa fikra ni mdogo kuliko mchanga wa bahari. Si hapo juu umesema kua ninyi mnaamini katika biblia? Iweje unasema imeharibiwa? Na nani? Unaweza kuthibitisha?
Hebu niambie Zile ngano za Quran zilitoma wapi?
Mdogo wangu punguza jazba taratibu wacha povu kwa taarifa yako tu
1. Tunaamini manabii wote walipewa kazi moja tu na Mungu , kuwatoa watu kwenye giza kuwaingiza kwenye NURU
2. Tunaamini vitabu vyote walivyopewa manabii ( taurati, zaburi , injili,QURAN)
2.Tunaamini Mungu ni mmoja wala hajawai kuwa mtu, sijui kavaa umbo la mtu sijui aje afe huo ni upuuzi kwetu ata akili inakataa
3.kitabu chochote kitakachokuwa na mafundisho ya ovyo ovyo kinyume na QURAN kabisa , hicho kitakuwa kimechezewa na waandishi ,hivyo tutafata kauli ya QURAN
 
kama hilo andiko unalijua liweke
usisahau pia kuhusu mohamed kupasua mwezi vipande viwili
oh,pia kupaa mbinguni akiwa amepanda farasi na kurudi duniani
Nataka wewe unae linadi hilo andiko ndio ulilete hapa sio mimi, mimi kazi yangu nikukuweka sawa
 
huna majibu na huwezi kuwa nayo
hekaya za quran ni nyingi na vichelesho vitupu
Unatakiwa ulete tatizo lako utatuliwe , badala yake unaanza kujitekenya na kucheka mwenyewe , sasa utapataje msaada kama usemi tatizo lako?
 
Unatakiwa ulete tatizo lako utatuliwe , badala yake unaanza kujitekenya na kucheka mwenyewe , sasa utapataje msaada kama usemi tatizo lako?
siwezi kuwa na tatizo na vitabu vyenu vya kutunga,tatizo mnalo nyinyi mnaoamini vichekesho vilivyotungwa na watu wasio makini kwenye uandishi wao
 
siwezi kuwa na tatizo na vitabu vyenu vya kutunga,tatizo mnalo nyinyi mnaoamini vichekesho vilivyotungwa na watu wasio makini kwenye uandishi wao
Unaweza ita vichekesho kumbe wewe ndio kichekecho, kwasababu ujaelewa kitu halafu unaleta ujuvi
 
Knowledge freedom ni kitu cha ajabu sana! Unakataa existence ya Adamu na Hawa; then unakubali existence ya Hippocrates, wote hao umewajulia kwenye maandishi; huna prove yoyote ya existence yao au kuto~exist kwao. Ila umechagua uamini nini tu. Nawe unaamini tulitokea kwenye nyani? au viumbe wadogo wa baharini?
Irrelevant
Kunatofauti Kati ya fact na fiction
Religious fiction and history
Wakati ambapo adamu na hawa ni ngano ya kidini, Hippocrates, Socrates, Plato, imhotep, mkwawa, kimweri, Shaka Zulu ni historical facts
Kwa maana nyingine, biblia si historia, twende sawa
 
asante sana mleta mada ,asante pia huyo dr Ben.

binafsi siwezi kusema kuna ukweli wowote au ni uongo au ni fikra za mtu tu.

ukweli usio na mashaka ni kua yupo MUNGU mmoja mwenye kuutengeneza ulimwengu wote ila shida inakuja namna ya kumfahamu.

huyo dr amesoma sana na katika kusoma kwake amekujakugundua kuna udanganyifu fulani umefanywa na jamii fulani dhidi ya jamii nyingine na ambao umewadumaza kiakili kifikra kiutamaduni nk nk.

tufanye nini sisi waafrika?

TUFANYE KAZI TUPATE CHAKULA NA MAHITAJI MUHIMU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU, TUWAPE WATOTO WETU ELIMU NA MAARIFA YA NAMNA GANI YA KUWA HURU KWA KILA JAMBO, TUTENDEANE WEMA SISI KWA SISI NA KUZIDI SAANA KUUTAFUTA UKWELI.
 
Irrelevant
Kunatofauti Kati ya fact na fiction
Religious fiction and history
Wakati ambapo adamu na hawa ni ngano ya kidini, Hippocrates, Socrates, Plato, imhotep, mkwawa, kimweri, Shaka Zulu ni historical facts
Kwa maana nyingine, biblia si historia, twende sawa
Ndivyo walivyo wadanganya watu wa magharibi na elimu yao..!!!

Usijidanganye wala kudanganya na wengine

Yaliyopita kama hukuwahi kushiriki ni Imani Tu_ narudia ni Imani

Inabaki kuwa ni maamuzi ya mpokeaji wa taarifa kulingana na ufahamu wake kukubali au kukataa_hii ndio fact hakuna janja janja
 
Back
Top Bottom