Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Knowledge freedom ni kitu cha ajabu sana! Unakataa existence ya Adamu na Hawa; then unakubali existence ya Hippocrates, wote hao umewajulia kwenye maandishi; huna prove yoyote ya existence yao au kuto~exist kwao. Ila umechagua uamini nini tu. Nawe unaamini tulitokea kwenye nyani? au viumbe wadogo wa baharini?
Wapi nimesema nakubali existence ya Hippocrates?

Na kama Hippocrates hakuwahi kuishi, na Adam na Eva hawakuwahi kuishi, nikisema Adam na Eva hawakuwahi kuishi utakataa?

Nitakuwa nimekosea?

Kwa nini unataka kuficha habari kwamba Adamna Eva ni hadithi tu, kwa kuleta habari za Hippocrates ambazo hata sijazisema?

Unaweza kuthibitisha Adam na Eva waliwahi kuishi?
 
Wapi nimesema nakubali existence ya Hippocrates?

Na kama Hippocrates hakuwahi kuishi, na Adam na Eva hawakuwahi kuishi, nikisema Adam na Eva hawakuwahi kuishi utakataa?

Nitakuwa nimekosea?

Kwa nini unataka kuficha habari kwamba Adamna Eva ni hadithi tu, kwa kuleta habari za Hippocrates ambazo hata sijazisema?

Unaweza kuthibitisha Adam na Eva waliwahi kuishi?
Rudia kusoma vizuri, hujaelewa! umepagawa hadi umeshindwa kuelewa ndg😃😃😃
 
kwa kuongezea tu ni kwamba wakemet walienda kusettle misri wakitokea east africa kama walivyojieleza kwenye hii papyrus
‘We came from the beginning of the Nile where God-Hapi dwells, at the foothills of the mountain of the Moon-
The papyrus of Hunefer.

What do they mean by the beginning of the Nile. They mean Ethiopian Highland where Blue Nile begun or they mean at the shore of Lake Nyanza aka Lake Victoria.
 
What do they mean by the beginning of the Nile. They mean Ethiopian Highland where Blue Nile begun or they mean at the shore of Lake Nyanza aka Lake Victoria.
the shore of Lake Nyanza aka Lake Victoria.
mount of the moon is either mount ruwenzori or kilimanjaro
either they came from tanganyika or buganda
 
the shore of Lake Nyanza aka Lake Victoria.
mount of the moon is either mount ruwenzori or kilimanjaro
either they came from tanganyika or buganda
Ok! may be Mount Ruwenzori because Mount Kilimanjaro is some how far from the shore of lake Victoria. and also by those era Mount probably was not yet formed. Remember Mount Kilimanjaro is the result of Volcanic Eruption.
 
Kwaio unasema Biblia ni fiction?
Swali zuri
Je ulidhani ni ukweli ule? We kwa upeo wako wa kufikiri kawaida kabisa, yaani common sense?
Nyoka wanaongea, punda wanaongea, watu 400 wanapuyanga jangwani kwa miaka 40? Mwisho unaambiwa mungu kamzalisha bikira wa kiyahudi, na unakubali pia!!!!!!!! Na sasa unamsubiri Huyo muheshimiwa aliyefufuka eti atashuka kwenye mawingu kama ndege??? Du noumah
Kwa nini waja siye tusiruke tukamfuata huko kwenye manyota?
 
Mwenye ushahidi wa mabaki ya Adam na Hawa hata kama ni picha itumwe humu ili tujue kwamba hao watu waliishi
Watu wa Mecca na Vatican tunaomba mtusaidie katika hili tafadhali
Zurri
 
Machi 6-8 1986 Dr. Ben Yosef Jochannan alifanya mhadhara jijini London kwa Jumuiya ya Waafrika (watokao Africa na Carribean).Haya yalikuwa maneno yake:

Kwanza nitatoa shukrani zangu kwenu kwa kunikaribisha hapa,na naomba mfatilie mjadala huu kwa umakini mkubwa,sababu kama mjuavyo najulikana kwa kuwa mtata.Mimi ni mtata sio kwa sababu mafundisho yangu yana tatizo bali ni kwa sababu naupa changamoto utawala wa kifikra wa Magharibi.

Afrika ikiwa kama kichwa cha mjadala wangu haiwezi kuongelewa katika muktadha wa Adam na Eva,sababu zamani kabla hawajawa na Adam na Eva ilikuwepo Afrika na Waafrika wakiwa na dhana zilizodumu kabla ya Abraham.Mapiramidi yote ya Afrika na sio yale yaliyopo tu Misri bali yale yaliyopo Sudan na mawili yaliyopo kaskazini ya Ethiopia(ambayo Uingereza na Mkutano wa Berlin waliamua kuyaweka Sudan ya kusini),yalijengwa maelfu ya miaka kabla majina Adam na Eva kutajwa sehemu yoyote katika sayari hii.Unapokuja katika kuzaliwa kwa Abraham,wakati huo huo Waafrika waishio katika bonde la mto Nile walikuwa katika kipindi cha nasaba (dynasty) ya 13,wakati huo hakuna Adam na Eva kwa sababu Waebrania walikupa dhana ya Adam na Eva.Wengi wenu mnaamini hii dhana ina ukweli badala tu ni Serikali inayoendeshwa kwa mfumo wa dini.

Kuiongelea Afrika itakubidi ubadili dhana yako ya Bikira Maria na kuelewa kuwa si chochote isipokuwa ni nakala (copy) ya Isis na mume wake mungu Osiris. N a pia itakubidi uende kwenye bonde la mto Nile kwenye mahekalu na kuona kuwa hii ni maelfu ya miaka kabla ya Westminster Abbey na Vatican.Natumia bonde la mto Nile mahsusi kwa sababu kumbukumbu za kale bado zipo katika mfumo wa minara,mahekalu na miundo mingine,bila shaka,kuna mengi yameibiwa ambayo yapo hapa London,Berlin na maeneo mengine.

Mababu zako waliupa ulimwengu kalenda miaka 10,000 kabla ya yesu.Hiyo ni miaka 8,000kabla ya Adam na Eva.Mababu zako walibadilisha mfumo wa tarehe kwa sababu ya uelewa wao wa hesabu za kiunajimu.Ni sayansi ya unajimu inayotoa uwezo wa kusoma kalenda.Dhana inajieleza yenyewe,kalenda inayotumia mfumo wa jua inayoonyesha uhusiano wa mwezi na jua ambayo inatupa msingi wa kalenda ya wakti wa sasa.Na nitasema kuwa haikuwepo jamii hata moja ya Ulaya iliyokuwepo katika kipindi hicho.Mwandishi wa kwanza wa Ulaya,Homer alizaliwa na baadae kujua kusoma na kuandika kutokana na mafundisho aliyopewa na Waafrika,yeye pia alianza kuthibitisha ushahidi ambao mababu zako walikuwa nao kwa kueleza kuwa hata miungu ya Ulaya,mahsusi Ugiriki,ambaye kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Pyrrhus,alitoka Ethiopia.

Nina uhakika kuwa kati yenu ambao mmesoma vyuoni,kama sio hapa Uingereza,sehemu nyingine,mnajua kuwa nanukuu kutoka kwenye kazi mbili za Homer,Iliad na Odyssey ambazo ziliipeleka Ulaya na Uingereza kwenye ustaarabu.Mwafrika ambaye ni lazima tumuongelee ni Mwafrika ambaye alisababisha watu waelewe sayansi,madawa,sharia,uhandisi na kadhalika.Ni kawaida hapa katika vyuo vikuu kujikita katika madawa kama vile Sanaa ya madawa ilitoka kwa Mgiriki anayeitwa Hippocrates.Hatuna Homer hadi takribani mwaka 333 kabla ya yesu.Bado hatuhitaji kumbukumbu yoyote zaidi ya Hippocrates mwenyewe kujua kinachofundishwa hapa kwenye vyuo vikuu ni uongo.

Mtu anatakiwa kutambua kwamba ,hata Hippocrates mwenyewe katika kile kinachojulikana kama “kiapo cha Hippocrates” aliandika kwamba alikuwa na mungu aliyeitwa Escalipius,jina la Kigiriki lenye maana Mungu Imhotep.Imhotep alifariki miaka 2500 kabla ya kuzaliwa kwa Hippocrates.Imhotep ni mtu wa kwanza kujulikana kuwa na vipaji vingi(multigenius) zaidi ya yule mnamuita Michaelangelo.Hatuna Michaelangelo hadi mwaka 1609 na hajulikani mpaka alipopewa kazi na papa Julius II,ambaye alimuagiza kuchora michoro kwenye paa la kanisa la Sistine.Michaelangelo alimtumia binamu yake na ndugu zake wengine kama mifano iliyotumika kama baadhi ya wahusika wa kibiblia katika michoro yake.

Msingi wa uhandisi ulianzishwa na Imhotep.Alijenga jengo la kwanza kwa kutumia mawe,hilo jengo bado limesimama sehemu inaitwa Sakkara,mwendo wa chini ya saa moja kaskazini magharibi mwa ambayo sasa inaitwa Cairo.Na hapa utaona Grand Lodge ya Farao Djoser iliyopo Sakkara.Jengo lile lilijengwa katika nasaba ya tatu.Imhotep alikuwa ni mwanadamu aliyetupa msemo “kula,kunywa na kuwa na furaha kwa sababu kesho lazima tutakufa”.

Bara la Afrika,Mama Afrika,kama navyopendelea kuliita,nikifahamu kuwa Wagiriki walilipa jina Afrika takribani kati ya 500-400 kabla ya kristo.Naongelea kipindi ambacho Wagiriki ambao walikuwa wameenda Pyrrus,ambao walikuwa wameingia Misri kupitia njia ya Leba(ambayo sasa inaitwa Libya) na kuanzisha vijiji vyao vidogo vidogo vilivyojitenga na kuviita Afrika kabla bara halijagawanywa na wakoloni.Naongelea ardhi yenye maili za mraba milioni 11.3 au 11.5,ambamo kwa mara ya kwanza dhana ya Mungu mwanaume na mungu mwanamke Nut anaonyeshwa kama mungu wa anga.Kama ishara Mungu Geb,mungu wa ardhi aliishi ndani ya kanisa dogo katikati ya hekalu la Hathor.Mwanamke wa Kiafrika analizaa jua asubuhi kupitia uke wake na jioni kulipokea tena kupitia mdomo wake.Hii inaonyesha mzunguko kamili wa dunia,zamani kabla dunia haijawa na mwanzo na mwisho.Hawa Waafrika katika bonde la mto Nile walifanya zaidi ya hili.Walitupa mungu Osiris ambapo watu walienda kila mwaka walienda kuhiji,zamani kabla hakujawa na ukuta wa kulia(wailing wall) Palestina au hadithi ya kufikirika ya yesu kuzaliwa Bethlehem.

Ni Afrika iliyozaa Hadzart Bilal ibn Rahab,ambaye alimfundisha Mohamed ibn Abdullah,ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika katika lugha yake.Hadzart Bilal ibn Rahab alikuja kuwa mkuu wa balozi za kiislam chini ya Mohamed ibn Abdullah,Omar na Abu Bakr.Nafikiri tunahitaji kujua historia kabla ya kunukuu maandiko ya kwenye vitabu vya dini.

Kulikuwa na hadithi ya kufikirika kwamba Afrika ni nyumbani kwa watu wanaokulana wenyewe kwa wenyewe na wamisionari.Natamani tungewala wamisionari,hatujachelewa sana!Inabidi kuelewa kwamba hii Afrika tunayoiongelea pia iliasisi vyuo vikuu bora vya Ulaya,na kwanza chuo kikuu cha Salamanca cha Hispania.Afrika ambayo labda huijui ilimzaa Zinjathropus Boisei kutoka kwa Waafrika wa Kenya!Familia ya Leakey,Louis na Mary walimkadiria kuwa na miaka milioni 1.7,Adam ni miaka 4000-5000 iliyopita.Afrika usiyoijua ilimzaa Lucy kule Ethiopia miaka milioni 3.2 ,na wote wapo kwenye makumbusho ya Kenya na Ethiopia.Na baadhi yetu bado tunaona aibu kuwa Waafrika!baadhi yetu tunalipa fedha kutengeneza pua zetu,kuchemsha na kuchoma nywele zetu na mambo yote ya namna hiyo,kwa sababu hatuijui hii Afrika,tunaijua Afrika ya biashara ya utumwa ya John Hawkins kutoka London na kutoka kwenye nyimbo nyingine.Ndio,hiyo ni awamu ya Afrika,Hakika,utumwa ni awamu ya maisha yaliyopita,lakini utumwa ni kipande kidogo kutoka 640 baada ya kristo kutoka kwa waarabu ,1506 kutoka kwa wazungu na hadi sasa kama kinyume na ninachoongelea;ni kidogo kwa ulinganifu.

Kama natamani kurudi Afrika,sio tu wakati tunafanya unajimu,uhandisi katika kujenga mapiramidi na kadhalika,lakini wakati tulipoupa ulimwengu dhana muhimu ya maadili.”Sijaua mwanaume au mwanamke” Hii inatoka kwenye makatazo ya Muungu mwanamke Ma’at.Utabaini kuwa kila wakati tukiongelea kuhusu mfumo wa utoaji haki na haki tunaye mwanamke wa Kiafrika akiwakilisha mzani wa utoaji haki.Majibu kwa makatazo ambayo yalitakiwa yaeleze “usimseme vibaya mama na baba yako ,usiue mwanamke au mwanaume,usiwafiche watu ujuzi na uwezo wako”. Ni maandiko ambayo ushawahi kuasikia sababu walisema kuwa mtu Fulani anayeitwa Musa aliyagundua maelfu ya miaka baadae kwenye Mlima Sinai.

Lakini bado walisema Musa alizaliwa Goshen.Hii ni Goshen iliyopo Misri kutoka na maandiko ya torati au agano la kale katika kitabu cha kutoka.Musa alipewa mafunzo,na kama alizaliwa na kuishi kule(kati ya mwaka mmoja hadi miaka themanini na tano),kulingana na biblia yako,hivyo basi lazima alisoma hili kwa sababu alipewa mafunzo kwenye grand lodge,kama alienda grand lodge akiwa na miaka saba hivyo hakutoka mpaka alipokuwa na miaka arobaini na saba kwa sababu ilichukua miaka arobaini kumtengeneza kuhani katika fani zote.Hivo basi,Musa hakuwa isipokuwa nakala ya makuhani wa Kimisri na mafunzo ya mfumo wa hadithi za Kimisri.Hawa Waafrika walewale waliotupa dhana ya Mungu mmoja.Alikuwa yule Amenhotep IV ambaye baadae alibadilisha jina na kuwa Akhneton,aliyetupa dhana ya Mungu pekee aitwaye Aten.Akhneton alifariki zamani kabla ya kuzaliwa kwa Musa.Hivi inawezekana mtu kuja Uingereza,kusoma chekechea hapa,shule ya msingi hapa,aende chuo hapa na kamwe hukuwahi kuusikia wimbo wa Taifa wa Uingereza,mkataba wa magna carta au sheria ya malkia Anne?inawezekana?kama ilivyo kwa Musa,azaliwe Misri na hakuwahi kusikia kuhusu Akhneton?

Wakati mmoja wa wanaoitwa wanafalsafa wa kwanza kwenda Misri,tunamuona kabla ya 640 kabla ya kristo,wakati ambapo alitakiwa awe ameshatoa andiko lake la kifalsafa,lakini yupo Misri.Kutoka Socrates hadi Aristotle(wale wanaoitwa wanafalsafa baada ya Socrates),kila mmoja wao aliishi miaka kadhaa Misri,na wazi mmoja ambaye hakuja sababu alikuwa ni zao la Plato alikuwa Socrates.

Hiyo ni Afrika unayoijua,haiwezi kuwa,vinginevyo msingeweza kuwa mnawatukuza watawala wenu,mnerudi kwenye elimu yenu ya kale na kuwa watawala wenu wenyewe mnaojitawala,angalau hata kama sio kimatendo basi kimawazo.Ni vigumu kwa sababu utumwa unatuletea historia iliyoandikwa na mkoloni kwa ajili ya mtawaliwa ilia some na aburudike.Mtawaliwa anapoangalia kila upande na kukuta kwamba hata mungu anaongea kutoka katika moyo wa mtawala,mtawaliwa huwa na mashaka na mungu.Maslahi ya mungu ni yapi katika yote haya?Sio Mwafrika aliyeandika katika kitabu cha Solomoni 1:1-9 na unapofika mstari wa 8 na 9 inasema “enyi mabinti wa Kanaan msiniangalie kwa sababu mimi ni mweusi,kwa sababu ni mrembo.Mama yangu aliniweka kwenye shamba la mizabibu lakini dada yangu aliwekwa ndani” Ndio maana malkia wa Sheba alibadilika na kuwa mweusi.Nilidhani kuwa ni kwa sababu baba na mama yake walikuwa weusi! Lakini unakuta hata kwenye biblia kuna uongo,ubaguzi wa rangi na yote hayo.Kama vile hatukuwa na biblia.tuna “The Book of the Dead” ambacho kilibadilishwa jina hapa London mwaka 1895 kutoka jina lake la awali.Kilikuwa kinaitwa “The Book of Coming Forth by Day and Night”.Tuna kitabu kinaitwa “The Book of the Divines”,”The Book of Judgment” “The Heart of Judgment” na kazi nyingine za namna hiyo ambazo zilikuwepo kabla ya agano la kale na kabala ya kiyahudi kwa maelfu ya miaka.

Waafrika walitupa dhana inayopinga mauaji.Mungu mwanamke Auset ambaye Wagiriki walimuita Isis,na mwanae Heru ambaye Wagiriki walimuita Horus na miungu wote waliona mauaji ya Osiris yaliyofanywa na kaka yake Seth.Mauaji yaliyopita mauaji ya Kain na Abel kwa maelfu ya miaka kuanzia kwenye kisiwa cha Angelica hadi kwenye hekalu la mungu Horus,ukienda mbele zaidi utaona uzazi bikra(virgin birth) na utungwaji mimba bila kukutana kimwili(immaculate conception).Ni hapa utakapoona igizo ambalo lilikuwepo kabla ya uwepo wa nchi inayoitwa Ugiriki likionyesha Horus akimuua baba yake mdogo kwa kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake,akionyeshwa baba yake mdogo kama kiboko kwa ishara(symbolically).

Afrika niliyoiongelea,unahitaji kuijua,na hakuna atakayekufanya mtumwa baada ya kuiona.Marekani kuna msemo unasema”kupoteza ufahamu ni kitu kibaya”.Inasemwa wakati wote kwenye TV na watu wanaojiita “The United College Fund” unaweza kupoteza ufahamu wako katika hilo,na kwa kutumia neno “negro” inamaanisha hawana ufahamu,kwa sababu nimekuwa nikimtafuta “negro” na sijampata kwa miaka na miaka.Kwa sababu mimi sio Mreno,sitengenezi “negro” wala “negroland” Mimi ni Mwafrika,na hilo ni neno inabidi tupambane nalo kwa sababu limetoka kwa Wagiriki.Nadhani baadhi wanasema lina mfananio mzuri na sisi.Kwa hiyo nawaombeni muda wote kubeba kioo,uwe mwanaume au mwanamke,kwa ajili ya kujiangalia kila siku.Halafu uwe na hisia nzuri kuhusu sura unayoiona,nywele ulizonazo na kila umbo la kupendeza la mwili ulionao.Sijui kuhusu nyinyi,kaka zangu,lakini ninapoangalia sura ya yule mwanamke wa Kiafrika,Naona pepo.
A very nice speech! Waafrika huwa tunajitutumua sana!Kudai Legacy ambayo hatuuishi! Siku ambayo Wema na Uzuri wetu sisi kwa sisi kadri ya jinsi tunavyotendeana utakapozidi wema na Uzuri wa Wazungu tunaweza kudai hicho ambacho hao Afrocentric Scholars wanakidai kuhusu Afrika. - Vinginevyo Miafrika ndivyo Tulivyo.
 
Nimekuuliza swali dogo tu wewe unaamini Mungu ni spirit ? ulijuaje kuwa Mungu ni spirit
naamini,naweza kuwa nakosea
ukija ushahidi unaoonyesha otherwise nitabadili imani
lakini kupasua mwezi vipande viwili sio imani
unless uniambie quran haikumaanisha mohamed alipasua mwezi "literally"
 
Swali zuri
Je ulidhani ni ukweli ule? We kwa upeo wako wa kufikiri kawaida kabisa, yaani common sense?
Nyoka wanaongea, punda wanaongea, watu 400 wanapuyanga jangwani kwa miaka 40? Mwisho unaambiwa mungu kamzalisha bikira wa kiyahudi, na unakubali pia!!!!!!!! Na sasa unamsubiri Huyo muheshimiwa aliyefufuka eti atashuka kwenye mawingu kama ndege??? Du noumah
Kwa nini waja siye tusiruke tukamfuata huko kwenye manyota?
Kwa fact yako huamini vitu vingi sana, mbona wanadai tulitokana na sokwe au "the like" mbona sokwe hawabadiliki au hata binadamu mwenyewe, kakomea homosapiens tu😆😆, Na ukijua lengo la waIsrael kuzunguka jangwani uje ulete mada nzuri ueleweshwe. Tatizo moja la wanaopinga uwepo wa "Mungu" wanahitaji mambo yatokee kimwili, kwamba amuone Yesu huyu hapa, au wewe umuone punda anaongea,n.k! Bro fanya meditation, ukirudi na reallity utaeleweka!!!!! Na ntaomba unijuze whats beyond the blue sky??
 
Sawa. Dkt Leakey alishakuletea mtu wako wa kwanza
Unalazimisha.

Hakuna nilipomtaja Dr. Leakey.

Naweza kumkataa Adam na Dr. Leakey.

Wewe unamjua hata mtu wa sasa yukoje, sembuse wa kwanza?
 
Unalazimisha.

Hakuna nilipomtaja Dr. Leakey.

Naweza kumkataa Adam na Dr. Leakey.

Wewe unamjua hata mtu wa sasa yukoje, sembuse wa kwanza?
Concept yako kutokana na hii comment, we never existed before and we came from nowhere😀😀😀! We una uhakika gani mwaka ulianzia moja??? Inawezekana hata ulianzia 300, (kutokana na comments zako nyingi). Like "professer, you have no common sense, because its not seen"
 
Machi 6-8 1986 Dr. Ben Yosef Jochannan alifanya mhadhara jijini London kwa Jumuiya ya Waafrika (watokao Africa na Carribean).Haya yalikuwa maneno yake:

Kwanza nitatoa shukrani zangu kwenu kwa kunikaribisha hapa,na naomba mfatilie mjadala huu kwa umakini mkubwa,sababu kama mjuavyo najulikana kwa kuwa mtata.Mimi ni mtata sio kwa sababu mafundisho yangu yana tatizo bali ni kwa sababu naupa changamoto utawala wa kifikra wa Magharibi.

Afrika ikiwa kama kichwa cha mjadala wangu haiwezi kuongelewa katika muktadha wa Adam na Eva,sababu zamani kabla hawajawa na Adam na Eva ilikuwepo Afrika na Waafrika wakiwa na dhana zilizodumu kabla ya Abraham.Mapiramidi yote ya Afrika na sio yale yaliyopo tu Misri bali yale yaliyopo Sudan na mawili yaliyopo kaskazini ya Ethiopia(ambayo Uingereza na Mkutano wa Berlin waliamua kuyaweka Sudan ya kusini),yalijengwa maelfu ya miaka kabla majina Adam na Eva kutajwa sehemu yoyote katika sayari hii.Unapokuja katika kuzaliwa kwa Abraham,wakati huo huo Waafrika waishio katika bonde la mto Nile walikuwa katika kipindi cha nasaba (dynasty) ya 13,wakati huo hakuna Adam na Eva kwa sababu Waebrania walikupa dhana ya Adam na Eva.Wengi wenu mnaamini hii dhana ina ukweli badala tu ni Serikali inayoendeshwa kwa mfumo wa dini.

Kuiongelea Afrika itakubidi ubadili dhana yako ya Bikira Maria na kuelewa kuwa si chochote isipokuwa ni nakala (copy) ya Isis na mume wake mungu Osiris. N a pia itakubidi uende kwenye bonde la mto Nile kwenye mahekalu na kuona kuwa hii ni maelfu ya miaka kabla ya Westminster Abbey na Vatican.Natumia bonde la mto Nile mahsusi kwa sababu kumbukumbu za kale bado zipo katika mfumo wa minara,mahekalu na miundo mingine,bila shaka,kuna mengi yameibiwa ambayo yapo hapa London,Berlin na maeneo mengine.

Mababu zako waliupa ulimwengu kalenda miaka 10,000 kabla ya yesu.Hiyo ni miaka 8,000kabla ya Adam na Eva.Mababu zako walibadilisha mfumo wa tarehe kwa sababu ya uelewa wao wa hesabu za kiunajimu.Ni sayansi ya unajimu inayotoa uwezo wa kusoma kalenda.Dhana inajieleza yenyewe,kalenda inayotumia mfumo wa jua inayoonyesha uhusiano wa mwezi na jua ambayo inatupa msingi wa kalenda ya wakti wa sasa.Na nitasema kuwa haikuwepo jamii hata moja ya Ulaya iliyokuwepo katika kipindi hicho.Mwandishi wa kwanza wa Ulaya,Homer alizaliwa na baadae kujua kusoma na kuandika kutokana na mafundisho aliyopewa na Waafrika,yeye pia alianza kuthibitisha ushahidi ambao mababu zako walikuwa nao kwa kueleza kuwa hata miungu ya Ulaya,mahsusi Ugiriki,ambaye kwa kipindi hicho alikuwa anaitwa Pyrrhus,alitoka Ethiopia.

Nina uhakika kuwa kati yenu ambao mmesoma vyuoni,kama sio hapa Uingereza,sehemu nyingine,mnajua kuwa nanukuu kutoka kwenye kazi mbili za Homer,Iliad na Odyssey ambazo ziliipeleka Ulaya na Uingereza kwenye ustaarabu.Mwafrika ambaye ni lazima tumuongelee ni Mwafrika ambaye alisababisha watu waelewe sayansi,madawa,sharia,uhandisi na kadhalika.Ni kawaida hapa katika vyuo vikuu kujikita katika madawa kama vile Sanaa ya madawa ilitoka kwa Mgiriki anayeitwa Hippocrates.Hatuna Homer hadi takribani mwaka 333 kabla ya yesu.Bado hatuhitaji kumbukumbu yoyote zaidi ya Hippocrates mwenyewe kujua kinachofundishwa hapa kwenye vyuo vikuu ni uongo.

Mtu anatakiwa kutambua kwamba ,hata Hippocrates mwenyewe katika kile kinachojulikana kama “kiapo cha Hippocrates” aliandika kwamba alikuwa na mungu aliyeitwa Escalipius,jina la Kigiriki lenye maana Mungu Imhotep.Imhotep alifariki miaka 2500 kabla ya kuzaliwa kwa Hippocrates.Imhotep ni mtu wa kwanza kujulikana kuwa na vipaji vingi(multigenius) zaidi ya yule mnamuita Michaelangelo.Hatuna Michaelangelo hadi mwaka 1609 na hajulikani mpaka alipopewa kazi na papa Julius II,ambaye alimuagiza kuchora michoro kwenye paa la kanisa la Sistine.Michaelangelo alimtumia binamu yake na ndugu zake wengine kama mifano iliyotumika kama baadhi ya wahusika wa kibiblia katika michoro yake.

Msingi wa uhandisi ulianzishwa na Imhotep.Alijenga jengo la kwanza kwa kutumia mawe,hilo jengo bado limesimama sehemu inaitwa Sakkara,mwendo wa chini ya saa moja kaskazini magharibi mwa ambayo sasa inaitwa Cairo.Na hapa utaona Grand Lodge ya Farao Djoser iliyopo Sakkara.Jengo lile lilijengwa katika nasaba ya tatu.Imhotep alikuwa ni mwanadamu aliyetupa msemo “kula,kunywa na kuwa na furaha kwa sababu kesho lazima tutakufa”.

Bara la Afrika,Mama Afrika,kama navyopendelea kuliita,nikifahamu kuwa Wagiriki walilipa jina Afrika takribani kati ya 500-400 kabla ya kristo.Naongelea kipindi ambacho Wagiriki ambao walikuwa wameenda Pyrrus,ambao walikuwa wameingia Misri kupitia njia ya Leba(ambayo sasa inaitwa Libya) na kuanzisha vijiji vyao vidogo vidogo vilivyojitenga na kuviita Afrika kabla bara halijagawanywa na wakoloni.Naongelea ardhi yenye maili za mraba milioni 11.3 au 11.5,ambamo kwa mara ya kwanza dhana ya Mungu mwanaume na mungu mwanamke Nut anaonyeshwa kama mungu wa anga.Kama ishara Mungu Geb,mungu wa ardhi aliishi ndani ya kanisa dogo katikati ya hekalu la Hathor.Mwanamke wa Kiafrika analizaa jua asubuhi kupitia uke wake na jioni kulipokea tena kupitia mdomo wake.Hii inaonyesha mzunguko kamili wa dunia,zamani kabla dunia haijawa na mwanzo na mwisho.Hawa Waafrika katika bonde la mto Nile walifanya zaidi ya hili.Walitupa mungu Osiris ambapo watu walienda kila mwaka walienda kuhiji,zamani kabla hakujawa na ukuta wa kulia(wailing wall) Palestina au hadithi ya kufikirika ya yesu kuzaliwa Bethlehem.

Ni Afrika iliyozaa Hadzart Bilal ibn Rahab,ambaye alimfundisha Mohamed ibn Abdullah,ambaye alikuwa hajui kusoma na kuandika katika lugha yake.Hadzart Bilal ibn Rahab alikuja kuwa mkuu wa balozi za kiislam chini ya Mohamed ibn Abdullah,Omar na Abu Bakr.Nafikiri tunahitaji kujua historia kabla ya kunukuu maandiko ya kwenye vitabu vya dini.

Kulikuwa na hadithi ya kufikirika kwamba Afrika ni nyumbani kwa watu wanaokulana wenyewe kwa wenyewe na wamisionari.Natamani tungewala wamisionari,hatujachelewa sana!Inabidi kuelewa kwamba hii Afrika tunayoiongelea pia iliasisi vyuo vikuu bora vya Ulaya,na kwanza chuo kikuu cha Salamanca cha Hispania.Afrika ambayo labda huijui ilimzaa Zinjathropus Boisei kutoka kwa Waafrika wa Kenya!Familia ya Leakey,Louis na Mary walimkadiria kuwa na miaka milioni 1.7,Adam ni miaka 4000-5000 iliyopita.Afrika usiyoijua ilimzaa Lucy kule Ethiopia miaka milioni 3.2 ,na wote wapo kwenye makumbusho ya Kenya na Ethiopia.Na baadhi yetu bado tunaona aibu kuwa Waafrika!baadhi yetu tunalipa fedha kutengeneza pua zetu,kuchemsha na kuchoma nywele zetu na mambo yote ya namna hiyo,kwa sababu hatuijui hii Afrika,tunaijua Afrika ya biashara ya utumwa ya John Hawkins kutoka London na kutoka kwenye nyimbo nyingine.Ndio,hiyo ni awamu ya Afrika,Hakika,utumwa ni awamu ya maisha yaliyopita,lakini utumwa ni kipande kidogo kutoka 640 baada ya kristo kutoka kwa waarabu ,1506 kutoka kwa wazungu na hadi sasa kama kinyume na ninachoongelea;ni kidogo kwa ulinganifu.

Kama natamani kurudi Afrika,sio tu wakati tunafanya unajimu,uhandisi katika kujenga mapiramidi na kadhalika,lakini wakati tulipoupa ulimwengu dhana muhimu ya maadili.”Sijaua mwanaume au mwanamke” Hii inatoka kwenye makatazo ya Muungu mwanamke Ma’at.Utabaini kuwa kila wakati tukiongelea kuhusu mfumo wa utoaji haki na haki tunaye mwanamke wa Kiafrika akiwakilisha mzani wa utoaji haki.Majibu kwa makatazo ambayo yalitakiwa yaeleze “usimseme vibaya mama na baba yako ,usiue mwanamke au mwanaume,usiwafiche watu ujuzi na uwezo wako”. Ni maandiko ambayo ushawahi kuasikia sababu walisema kuwa mtu Fulani anayeitwa Musa aliyagundua maelfu ya miaka baadae kwenye Mlima Sinai.

Lakini bado walisema Musa alizaliwa Goshen.Hii ni Goshen iliyopo Misri kutoka na maandiko ya torati au agano la kale katika kitabu cha kutoka.Musa alipewa mafunzo,na kama alizaliwa na kuishi kule(kati ya mwaka mmoja hadi miaka themanini na tano),kulingana na biblia yako,hivyo basi lazima alisoma hili kwa sababu alipewa mafunzo kwenye grand lodge,kama alienda grand lodge akiwa na miaka saba hivyo hakutoka mpaka alipokuwa na miaka arobaini na saba kwa sababu ilichukua miaka arobaini kumtengeneza kuhani katika fani zote.Hivo basi,Musa hakuwa isipokuwa nakala ya makuhani wa Kimisri na mafunzo ya mfumo wa hadithi za Kimisri.Hawa Waafrika walewale waliotupa dhana ya Mungu mmoja.Alikuwa yule Amenhotep IV ambaye baadae alibadilisha jina na kuwa Akhneton,aliyetupa dhana ya Mungu pekee aitwaye Aten.Akhneton alifariki zamani kabla ya kuzaliwa kwa Musa.Hivi inawezekana mtu kuja Uingereza,kusoma chekechea hapa,shule ya msingi hapa,aende chuo hapa na kamwe hukuwahi kuusikia wimbo wa Taifa wa Uingereza,mkataba wa magna carta au sheria ya malkia Anne?inawezekana?kama ilivyo kwa Musa,azaliwe Misri na hakuwahi kusikia kuhusu Akhneton?

Wakati mmoja wa wanaoitwa wanafalsafa wa kwanza kwenda Misri,tunamuona kabla ya 640 kabla ya kristo,wakati ambapo alitakiwa awe ameshatoa andiko lake la kifalsafa,lakini yupo Misri.Kutoka Socrates hadi Aristotle(wale wanaoitwa wanafalsafa baada ya Socrates),kila mmoja wao aliishi miaka kadhaa Misri,na wazi mmoja ambaye hakuja sababu alikuwa ni zao la Plato alikuwa Socrates.

Hiyo ni Afrika unayoijua,haiwezi kuwa,vinginevyo msingeweza kuwa mnawatukuza watawala wenu,mnerudi kwenye elimu yenu ya kale na kuwa watawala wenu wenyewe mnaojitawala,angalau hata kama sio kimatendo basi kimawazo.Ni vigumu kwa sababu utumwa unatuletea historia iliyoandikwa na mkoloni kwa ajili ya mtawaliwa ilia some na aburudike.Mtawaliwa anapoangalia kila upande na kukuta kwamba hata mungu anaongea kutoka katika moyo wa mtawala,mtawaliwa huwa na mashaka na mungu.Maslahi ya mungu ni yapi katika yote haya?Sio Mwafrika aliyeandika katika kitabu cha Solomoni 1:1-9 na unapofika mstari wa 8 na 9 inasema “enyi mabinti wa Kanaan msiniangalie kwa sababu mimi ni mweusi,kwa sababu ni mrembo.Mama yangu aliniweka kwenye shamba la mizabibu lakini dada yangu aliwekwa ndani” Ndio maana malkia wa Sheba alibadilika na kuwa mweusi.Nilidhani kuwa ni kwa sababu baba na mama yake walikuwa weusi! Lakini unakuta hata kwenye biblia kuna uongo,ubaguzi wa rangi na yote hayo.Kama vile hatukuwa na biblia.tuna “The Book of the Dead” ambacho kilibadilishwa jina hapa London mwaka 1895 kutoka jina lake la awali.Kilikuwa kinaitwa “The Book of Coming Forth by Day and Night”.Tuna kitabu kinaitwa “The Book of the Divines”,”The Book of Judgment” “The Heart of Judgment” na kazi nyingine za namna hiyo ambazo zilikuwepo kabla ya agano la kale na kabala ya kiyahudi kwa maelfu ya miaka.

Waafrika walitupa dhana inayopinga mauaji.Mungu mwanamke Auset ambaye Wagiriki walimuita Isis,na mwanae Heru ambaye Wagiriki walimuita Horus na miungu wote waliona mauaji ya Osiris yaliyofanywa na kaka yake Seth.Mauaji yaliyopita mauaji ya Kain na Abel kwa maelfu ya miaka kuanzia kwenye kisiwa cha Angelica hadi kwenye hekalu la mungu Horus,ukienda mbele zaidi utaona uzazi bikra(virgin birth) na utungwaji mimba bila kukutana kimwili(immaculate conception).Ni hapa utakapoona igizo ambalo lilikuwepo kabla ya uwepo wa nchi inayoitwa Ugiriki likionyesha Horus akimuua baba yake mdogo kwa kulipiza kisasi kwa kumuua baba yake,akionyeshwa baba yake mdogo kama kiboko kwa ishara(symbolically).

Afrika niliyoiongelea,unahitaji kuijua,na hakuna atakayekufanya mtumwa baada ya kuiona.Marekani kuna msemo unasema”kupoteza ufahamu ni kitu kibaya”.Inasemwa wakati wote kwenye TV na watu wanaojiita “The United College Fund” unaweza kupoteza ufahamu wako katika hilo,na kwa kutumia neno “negro” inamaanisha hawana ufahamu,kwa sababu nimekuwa nikimtafuta “negro” na sijampata kwa miaka na miaka.Kwa sababu mimi sio Mreno,sitengenezi “negro” wala “negroland” Mimi ni Mwafrika,na hilo ni neno inabidi tupambane nalo kwa sababu limetoka kwa Wagiriki.Nadhani baadhi wanasema lina mfananio mzuri na sisi.Kwa hiyo nawaombeni muda wote kubeba kioo,uwe mwanaume au mwanamke,kwa ajili ya kujiangalia kila siku.Halafu uwe na hisia nzuri kuhusu sura unayoiona,nywele ulizonazo na kila umbo la kupendeza la mwili ulionao.Sijui kuhusu nyinyi,kaka zangu,lakini ninapoangalia sura ya yule mwanamke wa Kiafrika,Naona pepo.
nice
 
Back
Top Bottom