Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Uislamu, ujudism, ukiristo, urasta, vyote chaka LA wayahudi
Imani ya kweli ni ile ya asilia ya babu, Bibi na wahenga wako.....unaabudu mizimu ya wenzio, haikusaidii lolote, ona ndio umegeuzwa shamba LA bibi, mkia wa ustaarabu duniani kwa kutupa vya kwako, na wakati wewe MTU mweusi ni kichwa
 
Kwa fact yako huamini vitu vingi sana, mbona wanadai tulitokana na sokwe au "the like" mbona sokwe hawabadiliki au hata binadamu mwenyewe, kakomea homosapiens tu😆😆, Na ukijua lengo la waIsrael kuzunguka jangwani uje ulete mada nzuri ueleweshwe. Tatizo moja la wanaopinga uwepo wa "Mungu" wanahitaji mambo yatokee kimwili, kwamba amuone Yesu huyu hapa, au wewe umuone punda anaongea,n.k! Bro fanya meditation, ukirudi na reallity utaeleweka!!!!! Na ntaomba unijuze whats beyond the blue sky??
Hatukani kuwepo kwa Mungu
Bali msamiati wa kiyahudi kumuhusu
 
A very nice speech! Waafrika huwa tunajitutumua sana!Kudai Legacy ambayo hatuuishi! Siku ambayo Wema na Uzuri wetu sisi kwa sisi kadri ya jinsi tunavyotendeana utakapozidi wema na Uzuri wa Wazungu tunaweza kudai hicho ambacho hao Afrocentric Scholars wanakidai kuhusu Afrika. - Vinginevyo Miafrika ndivyo Tulivyo.
Kuna ndivyo tulivyo, na vile tulivyofanywa tulivyo, kipande cha pili ndio cha kuhusu Ndugu, haya ni matokeo Ndugu. Si chanzo chetu
 
Hata ibada yenu ya asili ni ya kubuni kama ilivyo ya wayahudi na ndio maana nayo hatuitaki
Tatizo ni kubuni ama Kuaminika? We unaitupa kamusi ya wahenga wako??
Basi nenda Jerusalem ukaongee kiswahili kama atakuelewa MTU, utakana vyote, lakini sio ngozi yako mpingo. Na hiyo ndio kamusi ya Mungu
Sawa, sisi tutashika vya kwetu, kila MTU ana haki ya kubuni, na kuunda vya kwake, iweje ubatilishe vya wenzio???? Myahudi chanzo cha dhambi ya ubaguzi wa rangi....Mungu alituumba tofauti, kila MTU vya kwake,
Naafiki binti hemedi
 
Wakoloni walitumia dini kutugawa na kututawala mfano Nigeria ila kabla yao makabila yaliyokuwepo yalipigana na kushambuliana wao Kwa wao mpaka kuuzana kama watumwa hivyo kusema dini zilizoletwa ni tatizo kwa mtu mweusi bado ni hoja dhaifu.
 
Tatizo ni kubuni ama Kuaminika? We unaitupa kamusi ya wahenga wako??
Basi nenda Jerusalem ukaongee kiswahili kama atakuelewa MTU, utakana vyote, lakini sio ngozi yako mpingo. Na hiyo ndio kamusi ya Mungu
Sawa, sisi tutashika vya kwetu, kila MTU ana haki ya kubuni, na kuunda vya kwake, iweje ubatilishe vya wenzio???? Myahudi chanzo cha dhambi ya ubaguzi wa rangi....Mungu alituumba tofauti, kila MTU vya kwake,
Naafiki binti hemedi
Unalalamika Tu

Tafuteni hoja zenye mashiko na nyinyi kama walivyofanya wao

Ili Tupatie mizani kama kweli kuna uwezekano wa kuiba mpaja tamaduni ya mtu na ukafaulu kuteka watu kama wote kiwepesi_wepesi hivyo
 
Allah
Yahweh, Jehova, Yesu, Ibrahim, Isaka. yakobo, Emmanueli, too much, Mungu si myahudi
Kwa maana ya dhana, uungu ulikuwepo toka enzi na enzi....iweje myahudi atuletee kamusi??? Napita tu Samahani. Binti hemedi, nakuelewa swadakta
Binadamu WOTE tumepewa uhuru wa kufikiri na kuchagua. Hivi wayahudi bado wapo au kuna "wahayahudi" wamewekwa ili kuongezea chumvi urongo wa Magharibi??
 
Unalalamika Tu

Tafuteni hoja zenye mashiko na nyinyi kama walivyofanya wao

Ili Tupatie mizani kama kweli kuna uwezekano wa kuiba mpaja tamaduni ya mtu na ukafaulu kuteka watu kama wote kiwepesi_wepesi hivyo[/QUOTE
Sawa hoja yako inazingatiwa
Lakini hizi ni saa za hatari, hatari sana, sio mazoezi, hili ndo gem lenyewe
 
Back
Top Bottom