Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

asante sana mleta mada ,asante pia huyo dr Ben.

binafsi siwezi kusema kuna ukweli wowote au ni uongo au ni fikra za mtu tu.

ukweli usio na mashaka ni kua yupo MUNGU mmoja mwenye kuutengeneza ulimwengu wote ila shida inakuja namna ya kumfahamu.

huyo dr amesoma sana na katika kusoma kwake amekujakugundua kuna udanganyifu fulani umefanywa na jamii fulani dhidi ya jamii nyingine na ambao umewadumaza kiakili kifikra kiutamaduni nk nk.

tufanye nini sisi waafrika?

TUFANYE KAZI TUPATE CHAKULA NA MAHITAJI MUHIMU KATIKA MAISHA YA MWANADAMU, TUWAPE WATOTO WETU ELIMU NA MAARIFA YA NAMNA GANI YA KUWA HURU KWA KILA JAMBO, TUTENDEANE WEMA SISI KWA SISI NA KUZIDI SAANA KUUTAFUTA UKWELI.
Sawa kabisa
 
Napenda nikiri kuwa mi ni mfuasi mzuri sana wa mada kama hizi fikirishi na natambua mchango wa kila alieshiriki na ninawashukuru mno,maana kwa namna moja au nyingine mnanijenga.

Hivi ni kwanini tumefikia kuwaza haya yote?
1.Je tunahisi kuna mahali tumekosea?
2.Au kuna watu wanatuonea?(kwa maana kwamba kuna mahali tulitakiwa kuwepo na haijawa hivyo?)

Mwisho,nafikiria kwamba kabla ya kulaumu mtu au kitu chochote ni vema tukaanza na nafsi zetu,ni sisi ndio tunapashwa kijitengenezea ustawi bora wa maisha bila kuwaza nani alifanya nini,na je alikosea au alipatia.Tusiwe watu wa kuhukumu na kudharau mambo yaliyofanywa na wengine waliopita.Na pia tusisahau,hakuna alietayari kuharibu maisha yake kwa ajili ya mwengine,kwahyo hata hao tunaowalaumu leo,yote waliofanya ni kwa ajili yao na watu wao.Kwahiyo kitu cha msingi ni kujijengea mitazamo itayotuimarisha kifikra na kiuchumi maana ndio adui mkubwa tunaepambana nae ukiacha huyo wakuitwa shetani anaesingiziwa kila leo.

Naomba kuwasilisha

wasalaam
 
sometimes mtu mweusi hunichanganya sana. Musa alioa mwanamke mweusi. Mke wake alikuwa ni mmidiani. wamidiani waliishii maeneo ambapo leo ni Saudi Arabia kwenye Maka na Medina (Hejaz). wamidian hao walitokana na uzao wa Abraham. Ambapo baada ya Sarah kufa Abraham alimuoa Keturah na kumzaa Midian na watoto wengine kibao. So watu weusi walisambaa kiasi gani enzi za kale? walikuwa Africa kaskazini yote hadi na maeneo ya Arabia?. je walikuwa weusi tii au walikuwa wakush?
Ww unatumia reference tofauti Na ya dr. Ben...ndo maana huwez kumuelewa mtu mweusi
 
Dini hazina tatizo ila sema zimekosa walezi wa imani katika nyakati zetu
Kwenye Dini ndo tunapandikizwa ujinga. Wa kubaguana sisi kwa sisi....Leo nchi nying za Africa hazina amani kwa chuki za kidini tuu...ndo maana naita ujinga unaoitwa dini
 
Kwenye Dini ndo tunapandikizwa ujinga. Wa kubaguana sisi kwa sisi....Leo nchi nying za Africa hazina amani kwa chuki za kidini tuu...ndo maana naita ujinga unaoitwa dini
Na ndio maana nikasema ni ukosefu wa malezi walezi hawapo

Wengi ni watoto na wachanga kiimani

Wanawezaje kutambua watoto wameshaota meno na wanapaswa kupewa chakula kigumu..!

Na ndio maana vilio haviishi_mgawo ni mdogo kuliko mahitaji_sijui umenielewa
 
Na ndio maana nikasema ni ukosefu wa malezi walezi hawapo

Wengi ni watoto na wachanga kiimani

Wanawezaje kutambua watoto wameshaota meno na wanapaswa kupewa chakula kigumu..!

Na ndio maana vilio haviishi_mgawo ni mdogo kuliko mahitaji_sijui umenielewa
Nimekupata ndg
 
sometimes mtu mweusi hunichanganya sana. Musa alioa mwanamke mweusi. Mke wake alikuwa ni mmidiani. wamidiani waliishii maeneo ambapo leo ni Saudi Arabia kwenye Maka na Medina (Hejaz). wamidian hao walitokana na uzao wa Abraham. Ambapo baada ya Sarah kufa Abraham alimuoa Keturah na kumzaa Midian na watoto wengine kibao. So watu weusi walisambaa kiasi gani enzi za kale? walikuwa Africa kaskazini yote hadi na maeneo ya Arabia?. je walikuwa weusi tii au walikuwa wakush?
Soma kitabu kinaitwa " From babylon to Timbuktu " unaweza kukidownload directly Google
Link hii hapo

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAAegQIAxAB&usg=AOvVaw2hkeoetiRhSWg-i9I3RG40
 
Napenda nikiri kuwa mi ni mfuasi mzuri sana wa mada kama hizi fikirishi na natambua mchango wa kila alieshiriki na ninawashukuru mno,maana kwa namna moja au nyingine mnanijenga.

Hivi ni kwanini tumefikia kuwaza haya yote?
1.Je tunahisi kuna mahali tumekosea?
2.Au kuna watu wanatuonea?(kwa maana kwamba kuna mahali tulitakiwa kuwepo na haijawa hivyo?)

Mwisho,nafikiria kwamba kabla ya kulaumu mtu au kitu chochote ni vema tukaanza na nafsi zetu,ni sisi ndio tunapashwa kijitengenezea ustawi bora wa maisha bila kuwaza nani alifanya nini,na je alikosea au alipatia.Tusiwe watu wa kuhukumu na kudharau mambo yaliyofanywa na wengine waliopita.Na pia tusisahau,hakuna alietayari kuharibu maisha yake kwa ajili ya mwengine,kwahyo hata hao tunaowalaumu leo,yote waliofanya ni kwa ajili yao na watu wao.Kwahiyo kitu cha msingi ni kujijengea mitazamo itayotuimarisha kifikra na kiuchumi maana ndio adui mkubwa tunaepambana nae ukiacha huyo wakuitwa shetani anaesingiziwa kila leo.

Naomba kuwasilisha

wasalaam
Asante mawazo kuntu
 
[QUSOTE="Jaslaws, post: 29010562, member: 45054"]natamani sana,warudi nyumbani tulijenge bara letu..!![/QUOTE]
Pole pole Ndugu, fahamu Moja, inaanza na wewe, kuanza nukta hii, kujipenda, kujithaminu, kujuheshimu, nakupenda vyote vya kwako, watarudi tu. Na bara La Africa Lita kombolewa
Amuni amunu nakuambia
 
Na ndio maana nikasema ni ukosefu wa malezi walezi hawapo

Wengi ni watoto na wachanga kiimani

Wanawezaje kutambua watoto wameshaota meno na wanapaswa kupewa chakula kigumu..!

Na ndio maana vilio haviishi_mgawo ni mdogo kuliko mahitaji_sijui umenielewa
Kaka Mancho, unaanza kusomeka
 
Back
Top Bottom