Haswaaaa ! na kwa maneno haya mazito ukiwauliza watu hawa, Tulipata Uhuru mwaka gani bila shaka hawatakuwa na jibu..Yote nimajina tu suala la msingi ni kwamba tar 9 december 1961 tulipata uhuru
Haswaaaa ! na kwa maneno haya mazito ukiwauliza watu hawa, Tulipata Uhuru mwaka gani bila shaka hawatakuwa na jibu..Yote nimajina tu suala la msingi ni kwamba tar 9 december 1961 tulipata uhuru
Ni ukweli usiopingika kwamba tunasherehekea uhuru wa Tanganyika ambayo ilipata uhuru 9/12/1961, a.k.a Tanzania Bara baada ya kuungana na Zanzibar 1964.
Tanzania haikuwepo miaka 50 iliyopita, iliyokuwepo ni Tanganyika. Kama tungependa kuienzi Tanzania inavyostahiki, basi tungelenga kufanya sherehe kubwa wakati wa miaka 50 ya Muungano.
Wakuu, wengine mnakurupuka tu na kutoka mapovu. Jiulize ni Tanzania au Tanganyika ndio iliyopata uhuru 1961? Ukipata jibu utajua kama Prof au mchangiaji ndio mpuuzi. Watu milioni 1 bado wanajiita Wazanzibar na wimbo wao wa Taifa, Bunge na Bendera yao. Kwanini isiwe hivyo kwa upande wa pili/Tanganyika? Acheni utumwa wa mawazo kwa kuwa amesema mtu eti kwa sababu ni Dk. ama Prof. huo ndio upuuzi kupita wa huyo mzee mimi nathubutu kumwita mamluki.
Tanganyika hayupo,yeye alibadili jina na kuwa Tanzania bara.Sielewi kwa nini hakuretain jina la mwanzo as Zanzibar did,Fe Lady unatukana wa Tanganyika. Ina maana Tanganyika ilibadili jina baada ya kuolewa na Zanzibar?
Kwa hilo si jina kama CRDB ya zamani na CRDB yaleo je maana ni ileile??funguka Azavel Lwaitama hawezi kuwa mpuuzi kwawatu wenye uwezo kiakili ni mmoja wapo!!wewe ndo unawezakuwa mpuuzi watu wanaomjua Azavel lwaitama na hii thread yako haiitaji kuwa jiniasi!!!dairekiti wewe ndiye mpuuzi!!!
Nimekupata, kumbe sherehe za uhuru wa miaka 50 ni ya uhuru wa Tanganyika ambayo hatujui ikowapi?Mimi sitambui Uhuru wa tanzania bara bali nautambua Uhuru wa Tanganyika. Tulipokuwa tunapewa Uhuru nchi yetu ilikuwa inaitwa Tanganyika na bendera yetu ipo. Sasa ni wendawazimu kuipandisha bendera ya Tanzania wakati uhuru ni wa Tanganyika
Wazanzibar husherekea sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar na wala hatujahi sikia wakisema sherehe za Mapinduzi ya Tanzania Visiwani!! Sasa kwa nini huku ni sherehe ya Uhuru wa Tanzania Bara???
By the way, hivi Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zipo kikatiba??