Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
wewe jamaa lazima utakuwa genius,sijui umejuaje hili,mpa muda lazima this year haitaisha kabla ya kuteuliwa kuwa MBUNGEeep:
Namtambua Rais wangu jinsi anavyotii sketi. haimpiti kabisa
wewe jamaa lazima utakuwa genius,sijui umejuaje hili,mpa muda lazima this year haitaisha kabla ya kuteuliwa kuwa MBUNGEeep:
Jk atamteua kuwa mbunge
Jk atamteua kuwa mbunge
Mtu yeyote hata kama msafi akiwa ndani ya CCM na nchafu tu... Maana atakuwa anashiriki kulinda maovu na wezi wa rasilimali za kitanzania... Safari hatutaki Rais mwenye kaharufu ka mambo ya nje, tunataka Rais ambaye atakuwa anaumiza kicha kwa ajili ya Tanzania na watanzania..
Siyo Rais ambaye katika miaka mitano mwaka mmoja yoko angani au nchi za nje.
Mr. Ban, please! Kama unaona ana sifa zote hizo kwa nini umem fire?
Hapo sasa