Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Mr. Ban, please! Kama unaona ana sifa zote hizo kwa nini umem fire?Ban alielezea baadhi ya sababu zilizomsukuma kumteua Dk Migiro kuwa msaidizi
Mr. Ban, please! Kama unaona ana sifa zote hizo kwa nini umem fire?Ban alielezea baadhi ya sababu zilizomsukuma kumteua Dk Migiro kuwa msaidizi
zomba, huyu mama amefanya nini cha maana wakati akiwa UN?
Hakuna hata moja na ndio maana amemaliza muda wake na anarudi nyumbani. Au wewe unaonaje?
candid Zama hizi historia hamtambii mtu ambaye hakuwa na mchango chanya kwa taifa/jamii yake.Yeye kuwa makamu katibu mkuu wa UN amechangia nini kwenye maendeleo na ustawi wa wanajuia wa UN, tz ikiwemo?.Achalia mbali na utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku ,Je amefanya nini ambacho wenzake hawakufanya chenye manufaa kwa jumuiya ya kimataifa? .
Lazima iwe hivyo kwani mkweree hamna koo anazoziona hapa nchini isipokuwa zawakina Asha Rose na Mwanaidi Sinare!! Ndio maana hata dada zao wanakomba teuzi kubwa kubwa za mkweree!! Hongereni wakina mama.
kama wapemba vile!!kazi kwelikweli
candid Kwa maoni yangu yule mama ni Incompetent ndio maana hakuongezewa muda kuendelea na kazi yake,so hawezi tuachia jina zuri kwa jamii ya kimataifa ,hata Mama Tibaijuka aliondolewa UN-HABITAT kiujanja kwa Scandal.Je ameacha jina zuri la kutangazwa watanzaia tu viongozi wazuri wa kukabidhiwa majukumu kimatifa ndicho ninachoongelea. Mfano Anam
Kuna mama mmoja juzi juzi ametoka UN amewepwa wizara ya mazingira, sasa huyu nae si vibaya akapewa wizara ,
Jk atamteua kuwa mbunge
candid Kwa maoni yangu yule mama ni Incompetent ndio maana hakuongezewa muda kuendelea na kazi yake,so hawezi tuachia jina zuri kwa jamii ya kimataifa ,hata Mama Tibaijuka aliondolewa UN-HABITAT kiujanja kwa Scandal.
Hapo hapahitaji mtu aliyehifadhi juzuu? Au kuhesabu zile shanga njiani?Pale Slaa pangemfaa sana, lakini kigezo kimoja ni lugha za kimataifa zaidi ya nne, sasa sijui Slaa anazo ngapi baada ya Kimbulu? Labda Kiarabu maana si Muiraq?
Hapo hapahitaji mtu aliyehifadhi juzuu? Au kuhesabu zile shanga njiani?
Jk atamteua kuwa mbunge