assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
- Thread starter
- #21
jibu swalikesi ni ushahidi mkuu, namjua vyema dr.feleshi ni muumini mzuri sana wa misahafu ya sheria, angeendesha ofisi yake kwa pressure ya media na wanasiasa sijui taifa lingekua wapi.