Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Shukrani babu, ngoja nitafute niongeze makalio kidogo.....
Hapana mdogo wangu...usijaribu labda kama unataka kujifanya guinea pig...
Babu DC!!
Shukrani babu, ngoja nitafute niongeze makalio kidogo.....
ngoja nijaribishe tukalio tumoja hapa
Nadhani amekusikia atatulia na kufanya shughuli nyingine.
babu hutaki niuzike mjukuu wako nikuletee kitukuuWewe bwana kama umenyimwa tulia ....kanywe maji ulale kisha uomboleze...
Vinginevyo unajitafutia ukichaa...
Babu DC!!
babu hutaki niuzike mjukuu wako nikuletee kitukuu
Wabongo kwa kuchangamkia udaku, usishangae hii miti inavamiwa na kutoweka katika uso wa dunia...
Laana yote ataibeba mhariri wa Mwananchi kwa kueneza udaki katika idara nyeti...
Babu DC!!
teh babu hutaki mjumuu wako niuzike jamani mjini hapa vimbaombao hatuna soko
Kwakuwa watu wengi wenye akili timamu ndo wanalisomaga gazeti la Mwananchi,
hii ilimfanya huyu jamaa kuamini kwa haraka.
teh babu hutaki mjumuu wako niuzike jamani mjini hapa vimbaombao hatuna soko
hivo hivo babu
Chukua Topaz, chanja dushe lako kwenye kichwa mara tatu halafu chukua damu itakayotoka. Ukishamaliza, chanja tunda la Mvunge (likiwa mtini) halafu utomvu wake uchanganye na ile damu.
Lile tunda litakapokuwa linakuwa na dushe lako ndivyo litakavyozidi kukua. Ukiona dushe limefika kiwango unachokitaka unaenda kulichuma lile tunda halafu unaenda kulivunja kwenye njia panda inayotumiwa na watu wengi kuliko zote hapo maeneo unapoishi.
Huu Mvunge umekuwa ukitumika kwa shughuli hii kwa miaka mingi sana kule kijijini kwetu.
Ahsanteni!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Thanks mkuu somehow nimekupata, but baada ya kuchukua damu nachanganya na utomvu kwa kupaka damu pale pale nilipochanja tunda AU ninakinga utomvu kutoka kwenye mti then ndo nachanganya na damu?naomba maelezo kidgo hapo na ninatanguliza shukrani mkuu!!
Chukua Topaz, chanja dushe lako kwenye kichwa mara tatu halafu chukua damu itakayotoka. Ukishamaliza, chanja tunda la Mvunge (likiwa mtini) halafu utomvu wake uchanganye na ile damu.
Lile tunda litakapokuwa linakuwa na dushe lako ndivyo litakavyozidi kukua. Ukiona dushe limefika kiwango unachokitaka unaenda kulichuma lile tunda halafu unaenda kulivunja kwenye njia panda inayotumiwa na watu wengi kuliko zote hapo maeneo unapoishi.
Huu Mvunge umekuwa ukitumika kwa shughuli hii kwa miaka mingi sana kule kijijini kwetu.
Ahsanteni!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Doctrine of Signature hiyo, very ancient!
Mkeku!Hata wewe?chaa lekanafo?wamesema unachanjia hapo kalioni hayo maji yakiteleza yakienda kwenye kitumbua nacho kinaumuka balaa...utajibebaje?