AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 181
hahaaaa! nyani bana huwa haoni................???? wewe hujioni ulivyo mpiga debe wa magamba??? nasikia mabosi zako akina nape,sitta,na wengineo wanatembea wakiwa wamejipaka mafuta ya kuzuia sumu mikononi!! heheeeee! na wewe chunga watakulisha!
we mpemba upo??VIPI HR NA MAALIM WAMEPATANA HUKO AU??