MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Mmewachagua wasanii sasa wanasanii.Msirudie tena ee!!!!!!!
Hakuna aliyewachagua hao wasanii, na ndo wanawajibika kwao. Tuliowachaagua ndo wanawajibika kwetu. Watanzania tu wepesi wa kusahau maumivu.