Wapendwa nawasalaam.
Nikiwa mwanajamii, ningependa kujua nani atakayelipwa mabilioni ya Dowans
Alafu mjamaa anasema hawajui, na wala hana haja ya kuwajua, hawajawahi kumfuata!!
sasa mimi naulisa, kuna usalama wa taifa, kwa nini asiwape amri ya kuwajua hawa DOWANS wanaokula inji yetu ni akina nani.
wa mwibala.
Nikiwa mwanajamii, ningependa kujua nani atakayelipwa mabilioni ya Dowans
Alafu mjamaa anasema hawajui, na wala hana haja ya kuwajua, hawajawahi kumfuata!!
sasa mimi naulisa, kuna usalama wa taifa, kwa nini asiwape amri ya kuwajua hawa DOWANS wanaokula inji yetu ni akina nani.
wa mwibala.