Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,216
Hakikakazi inamalizwa mahakamani na sio kweney ofisi za Lumumba.
Hakikakazi inamalizwa mahakamani na sio kweney ofisi za Lumumba.
Wewe unaishi wapi? Au ni kati ya wsnaoshinda Karume ofisi za TFF kusubiri maamuzi ya shauri la Morrison!Ni kweli waliandika hivyo mkuu@Johnny Sack ? Ni gazeti gani? Tunaomba picha tuweke kumbukumbu, kesho tuwe na ushahidi.
Jengeni hijo mueleweke. Hilo la sijui nchi gani ili kuwa hivi, mtasubiri sana.Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
Kosa la rushwa haliishii kuondolewa kwenye uchaguzi, linatakiwa liishie mahakamani.Hatupaswi kuilaumu TAKUKURU kwa hatua hiyo, kwani imeamua kufanya hivyo ili kamati ya maadili ya CCM iweze kuwachukuliwa hatua wahusika wa vitendo vya rushwa kwa kuwaondolewa sifa za kugombea nafasi mabalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.
Atakayeshindwa "KU-LIKE" hii comment yako sio mzalendotalk of impunity.
huu ndiyo udhaifu ambao Maalim Seif & Tundu Lissu wautumie vizuri ku win support ya wapiga kura.... kwamba vita ya rushwa chini ya awamu ya 5 ni kiini macho tu!
CHADEMA
ACT Wazalendo
MATAGA hawata "like" hii hata siku moja!Atakayeshindwa "KU-LIKE" hii comment yako sio mzalendo
Alafu kuna walevi kutoka Tanpol wakilopoka,hatutaki uchochezi!Unashangaa ya Tundu Lissu kuitwa mropokaji, gazeti Hilo Hilo Jana liliandika kuwa Maalim Seif Ni shoga,
View attachment 1535863View attachment 1535864View attachment 1535872
Duuh Chama Tawala ni Kiboko hadi TAKUKURU na meno yote yale pamoja na kuongozwa na mjeshi lakini imesalimu amri
acha ujinga rushwa ni jinai sio swala la kisiasaHatupaswi kuilaumu TAKUKURU kwa hatua hiyo, kwani imeamua kufanya hivyo ili kamati ya maadili ya CCM iweze kuwachukuliwa hatua wahusika wa vitendo vya rushwa kwa kuwaondolewa sifa za kugombea nafasi mabalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.
Kamati ya maadili vipi wakati watu wamekamatwa na Rushwa kabisa na sauti zipo zina trend hapo kwa kweli wanakosesha imani Wananchi juu ya taasisi hiyo nyetiHatupaswi kuilaumu TAKUKURU kwa hatua hiyo, kwani imeamua kufanya hivyo ili kamati ya maadili ya CCM iweze kuwachukuliwa hatua wahusika wa vitendo vya rushwa kwa kuwaondolewa sifa za kugombea nafasi mabalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.
Wamewakosa waliyokuwa wanatafutwa. Mtego wa panya kanaswa paka wa nyumbani.Hiyo ndiyo mama Tanzania, hawasimamii wanacho kiongea
Mpira umerudishwa kwa kipa.Hii imedhihirisha kuwa takukuru siku zote hufanya kazi kwa niaba ya ccm. ndio maana imerudisha mpira kwa 'mwajiri wake'. Kesi ya nyani imerudi kwa ngedere
Aisee halafu Mwakyembe anasema wanalinda maadili ya uandishi wa habari ?Unashangaa ya Tundu Lissu kuitwa mropokaji, gazeti Hilo Hilo Jana liliandika kuwa Maalim Seif Ni shoga,
View attachment 1535863View attachment 1535864View attachment 1535872
Kwani mkuu mtu angeendelea na mashitaka yake na hao TAKUKURU na kamati ya maadili kupewa taarifa juu ya mtu wao si inatosha kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.Hatupaswi kuilaumu TAKUKURU kwa hatua hiyo, kwani imeamua kufanya hivyo ili kamati ya maadili ya CCM iweze kuwachukuliwa hatua wahusika wa vitendo vya rushwa kwa kuwaondolewa sifa za kugombea nafasi mabalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu.