Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 451
unajua level of tolerance kwa kiongoz wa nchi au jesh au bdo unapuyanga tu?kiongoz yyte lazma ku accept critizism kwan dunia ya ss ipo kweny rennaissance kipnd cha ku reason,ss ukishndwaa ulingo wa ku reasoning mbadala wake usiwe kutumia mabavuUnitukane, unidhihaki, unidhalilishe duniani, uisaliti nchi ninayoiongoza, uniite dikteta, uniite rubbish, bado nikuangalie, nikutibie, nikulipe mshahara, nikulindie kibarua chako. Kwani we umekuwa nani Mungu??!! Au binadamu namba moja duniani?!! Mwambieni kwanza ajifunze kuheshimu watu na mamlaka..mengine ataongezewa. Vinginevyo hata kidogo alicho nacho atanyang' anywa.