Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,957
- 4,140
Kelele zingelikuwa ndio kizuizi cha mtu kufikia hatima Yake, watu wengi tungelikufa mapema.
Tukiorodhesha tuhuma hapa kumhusu Makonda, kitabu chenye kurasa elfu kinajaa.
Tukisikiliza clips za watu wasio haki wakipiga kelele zinazompinga Makonda, hakuna mwenye MB za kutosha kuzisukiliza zote.
Watu waliomtishia kumfikisha kwenye vyombo vya sheria lakini wakaishia kupanua madomo yao na wsitende chochote, ni maelfu kwa maelfu.
Wengine walienda mbali zaidi hata kufikia kumtishia uhai wake, lakini Paul Makonda, ndio kwanza Mungu anazidi kumnawirisha.
CCM ni chama kikubwa mno, kinawafahamu watu wake, makonda isingelikuwa rahisi kuaminiwa tena kwa tuhuma zile ziliimbwa na wapinzani wake kisiasa!
Na sasa wengenewe wengi, bado wangali wakipiga kelele juu ya Makonda!
Ni vyema kutambua sasa kuwa, Mungu akipanga jambo lake, hata dunia yote ikawa kinyume na huyo mtu, Mungu atalifanya.
Kelele za wasio haki, hazizuii kusudi la Mungu kumhusu mtu wake.
Niwashauri kama alivyowashauri Elia wale mabaali.
Ongezeni kelele mkazidi sana kuzipaza, labda shetani atawasikia!
Tukiorodhesha tuhuma hapa kumhusu Makonda, kitabu chenye kurasa elfu kinajaa.
Tukisikiliza clips za watu wasio haki wakipiga kelele zinazompinga Makonda, hakuna mwenye MB za kutosha kuzisukiliza zote.
Watu waliomtishia kumfikisha kwenye vyombo vya sheria lakini wakaishia kupanua madomo yao na wsitende chochote, ni maelfu kwa maelfu.
Wengine walienda mbali zaidi hata kufikia kumtishia uhai wake, lakini Paul Makonda, ndio kwanza Mungu anazidi kumnawirisha.
CCM ni chama kikubwa mno, kinawafahamu watu wake, makonda isingelikuwa rahisi kuaminiwa tena kwa tuhuma zile ziliimbwa na wapinzani wake kisiasa!
Na sasa wengenewe wengi, bado wangali wakipiga kelele juu ya Makonda!
Ni vyema kutambua sasa kuwa, Mungu akipanga jambo lake, hata dunia yote ikawa kinyume na huyo mtu, Mungu atalifanya.
Kelele za wasio haki, hazizuii kusudi la Mungu kumhusu mtu wake.
Niwashauri kama alivyowashauri Elia wale mabaali.
Ongezeni kelele mkazidi sana kuzipaza, labda shetani atawasikia!