Mauki amekuwepo tangu zama za babu wa loliondo ,Dr shika,Piere oooo mama,Mandonga na Sasa Dotto ana consistency kwenye anachofanya kutokana na elimu yake Wala hajawahi kujipendekeza kwenye chama Wala mtu inawezekana hatukubaliani na mitizamo yake ila jamaa ni mtu sana kwenye carrier yake