Do's and Donts on a Date (Kwanini baada ya 1st date unapotezewaaaa!)

Do's and Donts on a Date (Kwanini baada ya 1st date unapotezewaaaa!)

Hivi nguo za kishamba ndo nguo gani?
"
Mi sizijui!
 
Sikiliza Karucee
Vipi kama jamaa amevutiwa sana kwa hivo akawa na kihoro flani hivi?
na hiyo ikamaanisha kuwa amekuwa nervous kupita kiasi kwenye first date
obviously hiyo nervousness itapungua kama sio kuisha in the second, third, fourth dates?
huoni umuhimu wa kuenda dates 2, 3 kwanza kabla hujaamua???!
I asked a girl out on a date, and she asks me for a second date?? ... Nah, thats a turn off, kinda.
 
hii ni 90% kitchen party kwa wadada wetu,lakini .........?
 
I asked a girl out on a date, and she asks me for a second date?? ... Nah, thats a turn off, kinda.

Hahaaaaaaaaaaaa! Hapo ujue ukimuomba ya Pili anakujibu changa la macho! Akisepa simu hapokei ng'oooo! Kwani unamdai? Hakuna fak promise miliyopeana!!!!!!!

Sisi watu wazima bwana if you play HARD TO GET na bikra ishatoka long time wanaume design yetu na Ciello sura nzuri na mipesa hawapendi ku work hard for anything! Ukijifanya her majesty kwisha habari yako!

Ila sura ngumu hata ujifanya the queen her self atavumilia!

Plus mi sioni kwanini ukae unaruhusu mfumo dume yeye akijisikia ndo aamue! Thats mambo ya kitoto!!!!! If you want it you ask for it!
 
Last edited by a moderator:
daaaaaah 6, 7, 8 na 9 zimenichekesha sana...eti unapadna juu ya meza unashake that booty, daaah mavitenge nin hahahaha...daaaah na hiyo ya ush*z ndan ya modo haahahahahahhahhaa
 
Sikiliza Karucee
Vipi kama jamaa amevutiwa sana kwa hivo akawa na kihoro flani hivi?
na hiyo ikamaanisha kuwa amekuwa nervous kupita kiasi kwenye first date
obviously hiyo nervousness itapungua kama sio kuisha in the second, third, fourth dates?
huoni umuhimu wa kuenda dates 2, 3 kwanza kabla hujaamua???!

nervousness is not a crime Prisoner 46664. Na haiwezi kuwa sababu ya kukosa kutoka out na jamaa kwa mara ingine.
 
Last edited by a moderator:
To me it's a huge turn on.

It's affirmation that I'm simply irresistible.

Aaaaaaaaaah wapi! Hio ni proof to kuwa i wanna evaluate you more! Ukivuliwa kufuli ndo proof you are irresistible!!!!!! Watu wanaenda dates 10 na kina sanuka!
 
Aaaaaaaaaah wapi! Hio ni proof to kuwa i wanna evaluate you more! Ukivuliwa kufuli ndo proof you are irresistible!!!!!! Watu wanaenda dates 10 na kina sanuka!

To me it's proof you want more of me otherwise you wouldn't bother.
 
hahahah baelezee baelewe..wanaplay hard to get wakati men wenye futures za ukwee wako wachache....sio twa-ask 4a second date bana....waache waplay hide and seek while hawana guts!!!!
Hahaaaaaaaaaaaa! Hapo ujue ukimuomba ya Pili anakujibu changa la macho! Akisepa simu hapokei ng'oooo! Kwani unamdai? Hakuna fak promise miliyopeana!!!!!!!

Sisi watu wazima bwana if you play HARD TO GET na bikra ishatoka long time wanaume design yetu na Ciello sura nzuri na mipesa hawapendi ku work hard for anything! Ukijifanya her majesty kwisha habari yako!

Ila sura ngumu hata ujifanya the queen her self atavumilia!

Plus mi sioni kwanini ukae unaruhusu mfumo dume yeye akijisikia ndo aamue! Thats mambo ya kitoto!!!!! If you want it you ask for it!
 
mbona wapoteza pumzi zako bure!!!! vp uko poa lakini???
Sikiliza Karucee
Vipi kama jamaa amevutiwa sana kwa hivo akawa na kihoro flani hivi?
na hiyo ikamaanisha kuwa amekuwa nervous kupita kiasi kwenye first date
obviously hiyo nervousness itapungua kama sio kuisha in the second, third, fourth dates?
huoni umuhimu wa kuenda dates 2, 3 kwanza kabla hujaamua???!
 
To me it's proof you want more of me otherwise you wouldn't bother.

Not necessarly! Maybe im undecided yet!!!! Kuna vitu umenifurahisha, vingine umeniboa! Sasa all i need is more time to make a correct decision!!!!!
 
Not necessarly! Maybe im undecided yet!!!! Kuna vitu umenifurahisha, vingine umeniboa! Sasa all i need is more time to make a correct decision!!!!!

Sasa kama nimekuboa what makes you think the next go round I won't bore you again? To me asking for second date is a good sign just like being called to a second job interview.
 
Wengine fulu kupania mtoko.....na hakawii kwenda na cmpny yke ili wakamtie mtu hasara
 
desperado, precisely. Good Lord I would be caught dead being one!

Hahaaaaaaaaaa! Uwe unajishaua hivi kwanza uwe mzuri sanaaaaaaaaa! Universal! Pili uwe mdogo na watu unaodate nao wadogo! Tatu huyo mwanume awe mbayaaaa sio hot cake!

Ila kama wewe ni wa kawadia desin zetu za Chiku na chausiku! Aaaaaaaah wapi! We usiombe date na simu haiiti ng'ooooo!

Mwanaume hot cake application zinafurika! Aaaaaah wapi! Hana muda wa kubembeleza mtu wakati wengine wanajipeleka!

Umri umesogea afu uko na mtu mzima mwenzio unaleta za her majesty the queen afu mbayaaa plus huwezi ongea lugha ya kiutu uzima !!!!!!! Anaona huyu ukubwa mvi tu ila kichwani bado toto dogo!
 
Signs of desperation ama sio?
,,hadithi ya samaki na mvuvi...
nani avue, nani avuliwe??

Hahaaaaaaaaaa! Kama mzuri sanaaaaaa unaweza usiwe desperate!Ila kama plain plain afu unajifanya her majesty the queen! Wapii!!!!!!!! Simu haiiti ng'oooooooo!
 
To me it's a huge turn on.

It's affirmation that I'm simply irresistible.
Nyani Ngabu
A friend said : love has a reacher and a settler!
a reacher
holds on to something bigger/higher than they'd normally deserve..
a settler settles for something less than they deserve

akikuomba second date...she is reaching!..ni mwanzo wa kum-take for granted.
 
Back
Top Bottom