Hahahaaaaaaaaaaa! Thanks for the offer lakini!
4.Unywaji wa pombe! Sio vibaya kutotumia alcohol ila Soda/Juice is definately a dont!! Kabisaaa! Huko ni kuleta nzi na nyuki kwa meza!!!!
hapa sdhani kama we unajijua ni soft drunker uende sehemu ya alcoholist hivyo atapokwambia chagua place u shud be creative kuchagua sehemu ambazo huko juice ndio nyumbani no alcohol, akikupenda atalearn from there kua we c mtumiaji
mzee..hizo siku 9 umeziongeza za nini?..sijakuelewa kabisa
I think we have different perspectives. Its me as a woman who decides if there will be another date. Therefore it is the man who should ask when he will see me again. Then if I was impressed I will see him again. If not, then good riddance dude.
I hear you!I think we have different perspectives. Its me as a woman who decides if there will be another date. Therefore it is the man who should ask when he will see me again. Then if I was impressed I will see him again. If not, then good riddance dude.
Wakubwa zangu shikamooni!!!!!!!!!!!!!
9.Mavazi! umealikwa vaa kwa staha ila sio kishamba!!!!! Na wananume modo imekubanaa hata ukijamba ushuzi unabaki humohumo hadi uvue hio modo utahisiwa si riziki bureeeeee! Kikatu Papa Mukulu ana afadhali kilivochongoka!!!!!
(JF IS NEVER BORING!!!!!)
No 5; Hakuna mwanaume ambaye anapenda kudate someone ambaye anadhani she is smarter than him, that is a no no!
No 10; Biggest mistake ambayo wadada wengi sana hufanya, if you dont ask ndio imetoka hivyo, the guy will think he did not impress you!
No.5: and why should a woman date some one who is less smarter than her??? sioni logic ya kudate a person of that kind!!! a man anayekuwa smart than you its sexy na itayafanya mahusiano yenu yaimarike..ukidate smone less smart than you hatoacha kujistukia..tena hawa men wa ktz..its not advisable kabisa!!!
no.10: asking for a second date its normal if umeridhia mzigo husika...
"Better to remain silent and be thought a fool, than to speak and remove all doubt.
We are talking about the same thing but approaching it differently, the fact is wanaume wengi sana will not feel comfortable dating someone who he perceive to be smarter than him, huo ndio ukweli wenyewe, they always feel confident akijua he is smarter than you! Wanawake wengi dont ask for second date hata kama amependa company ya jamaa ndio tunasema that is a mistake!
I hear you!
na ndomana nikauliza why should a woman do that!!! hawafil comfortable kwakuwa hawajiamin na kwa kulijua hilo ni mwiko kudate such kind of a guy!!! na kama hawa-ask 4a second date then they should start doimg that!!!
hahahah ngoja nimalizie dompo yangu hapa kichwa kikae sawa!!!
WTF kila unaye date naye hakuimpress?? afu other men siyo watu wakuinitiate hizo vidate hata kama umemuimpress...so gal u have 2push them smhow...mie sioni tatizo kwa mie kuinitiate the second date if package ina viwango vya TBS!!!
nipe 5.
dompo tena mmmh..unajua reaction ya hyo k2 ,maangamiz yako tayar au anakunywa tu..
Hahahaaaaa