Do's and Dnt's kama unalipenda Gari lako

Do's and Dnt's kama unalipenda Gari lako

...hii ni shule ya mastaaazi ya magari,sandeni sana wadau..
 
nieleweshe coz gari yangu ina five yrs ndani ya bongo na iko kama ilivyokuja......lift ina tatizo gani???mimi napenda kuwapa mademu lift.......

Labda uko selective sana na hao mademu wako....otherwise utoaji lift hovyo huchakaza sana gari (interior) na uzito kuongezeka
 
Labda uko selective sana na hao mademu wako....otherwise utoaji lift hovyo huchakaza sana gari (interior) na uzito kuongezeka

ok....huwa naangalia sana uzito....wawili mwisho......mara nyingi mmoja ndio maongezi na safari inakuwa nzuri.....
 
...hii ni shule ya mastaaazi ya magari,sandeni sana wadau..

We Mgogo?
Kwa kuongezea
(1) Kila baada ya sekunde 60 jenga mazoea ya kuangalia dashboard yako, kwa sekunde 1 ili kuhakikisha gauges zote zipo sawa.
(2) Usipendelee Kula ndani ya gari lako, chembechembe zinazo dondoka huvutia wadudu km sisimizi.

(3) Usioshe gari na detergents (sabuni ya unga) kwani rangi inafifia/kupauka.

(4)Pendelea kutumia engine oil zenye high viscosity kwani unapata mileage nyingi kuanzia 5000kms for petrol engines.

(5) Jiwekee utaratibu wa kujaza mafuta mengi kwa wakati mmoja na kwenye vituo vya mafuta maalum.

(6) Pendelea kubadilisha tyres zako kwa mfumo wa S (ya Julia iende kushoto na kushoto eiende nyuma kulia etc).

(7) Penda kuosha engine Mara kwa Mara.

(8) Acha kupiga misele Mara kwa Mara!!!

Nikuongeze!!!!!!
 
We Mgogo?
Kwa kuongezea
(1) Kila baada ya sekunde 60 jenga mazoea ya kuangalia dashboard yako, kwa sekunde 1 ili kuhakikisha gauges zote zipo sawa.
(2) Usipendelee Kula ndani ya gari lako, chembechembe zinazo dondoka huvutia wadudu km sisimizi.

(3) Usioshe gari na detergents (sabuni ya unga) kwani rangi inafifia/kupauka.

(4)Pendelea kutumia engine oil zenye high viscosity kwani unapata mileage nyingi kuanzia 5000kms for petrol engines.

(5) Jiwekee utaratibu wa kujaza mafuta mengi kwa wakati mmoja na kwenye vituo vya mafuta maalum.

(6) Pendelea kubadilisha tyres zako kwa mfumo wa S (ya Julia iende kushoto na kushoto eiende nyuma kulia etc).

(7) Penda kuosha engine Mara kwa Mara.

(8) Acha kupiga misele Mara kwa Mara!!!

Nikuongeze!!!!!!

....!!!
(9) Usigeuze gari lako Gesti Haush, vyumba mpaka vya mia 3 vipo uswazi.

(10) Kabla ya kununua gari, kagua kama gari lako ni ya jinsia gani.
Kuna magari mengine hayatupendezi sie wadada na mengine hayawapendezi nyie makaka
 
....!!!
(9) Usigeuze gari lako Gesti Haush, vyumba mpaka vya mia 3 vipo uswazi.

(10) Kabla ya kununua gari, kagua kama gari lako ni ya jinsia gani.
Kuna magari mengine hayatupendezi sie wadada na mengine hayawapendezi nyie makaka

kweli eeeh.....unakuta dume zima limekomaa na OPA,VITS,IST.......:shock:
 
We Mgogo?
Kwa kuongezea
(1) Kila baada ya sekunde 60 jenga mazoea ya kuangalia dashboard yako, kwa sekunde 1 ili kuhakikisha gauges zote zipo sawa.
(2) Usipendelee Kula ndani ya gari lako, chembechembe zinazo dondoka huvutia wadudu km sisimizi.

(3) Usioshe gari na detergents (sabuni ya unga) kwani rangi inafifia/kupauka.

(4)Pendelea kutumia engine oil zenye high viscosity kwani unapata mileage nyingi kuanzia 5000kms for petrol engines.

(5) Jiwekee utaratibu wa kujaza mafuta mengi kwa wakati mmoja na kwenye vituo vya mafuta maalum.

(6) Pendelea kubadilisha tyres zako kwa mfumo wa S (ya Julia iende kushoto na kushoto eiende nyuma kulia etc).

(7) Penda kuosha engine Mara kwa Mara.

(8) Acha kupiga misele Mara kwa Mara!!!

Nikuongeze!!!!!!

...kabla hatujaenda kwenye phd, kwani wewe ni mdigo(cheki hapo kwenye red)...?? teh.tehh..
 
Back
Top Bottom