Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 980
- 3,646
Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Bi Dorothy Semu akizungumza katika mkutano wa hadhara Temeke ameendelea kusisitiza kuwa chama chao kitashiriki uchaguzi ili kuing'oa CCM Madarakati.
Amesema ''Tumeona na tumejifunza tunaposusia uchaguzi, tunaendelea kuimarisha hujuma dhidi ya demokrasia, CCIM itafurahi sana tukisusia uchaguzi kama kilivyofanya 2019, kama kilivyofanya kule Zanzibar walivyosusia uchaguzi walifurahi wakafanya uchaguzi wa marudia na tena wakaenda sheria kandamizi zaidi ya kura ya mapema ambayo mpaka leo imekuwa ikiwatesa wazanzibar. Sisi tunasema hatutasusia uchaguzi''
Amesema ''Tumeona na tumejifunza tunaposusia uchaguzi, tunaendelea kuimarisha hujuma dhidi ya demokrasia, CCIM itafurahi sana tukisusia uchaguzi kama kilivyofanya 2019, kama kilivyofanya kule Zanzibar walivyosusia uchaguzi walifurahi wakafanya uchaguzi wa marudia na tena wakaenda sheria kandamizi zaidi ya kura ya mapema ambayo mpaka leo imekuwa ikiwatesa wazanzibar. Sisi tunasema hatutasusia uchaguzi''