Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
EMT, nimeshajijua mimi ni fake bora nitafute real man angalau tuneutralize tabia. Lol.
Hivi kama wewe mwanaume mlevi utatafuta mwanamke mlevi? Bora utafute mwanamke ambae si mnywaji ili angalau nyumba isiyumbe. Mi natafuta yule ambae mabaya niliyonayo yeye hana ili tuweze kuoneshana njia sahihi kuliko wote kuwa njia moja.
Kazi ipo pale anapokuwa mlevi,mzinzi,mbishi, muongo....siju uta neutralize lipi? Roho wa bwana ushuke utusaidie!