from the look of their face these people are not the ones to mess with.:glasses-nerdy:
When I see these things huwa ninawachukia wadhungu kwa kutengeneza kitu hii!!!!!!!!!!!! Coz they knew the outcome of such things, and Africans end up killing each other. Kwa hili sitakaa niwapende wadhungu!
When I see these things huwa ninawachukia wadhungu kwa kutengeneza kitu hii!!!!!!!!!!!! Coz they knew the outcome of such things, and Africans end up killing each other. Kwa hili sitakaa niwapende wadhungu!
Mkuu BUBE nadhani ungebadilisha usemi wako na kuwachukia zaidi waafrica na waarabu ingekuwa vizuri zaidi,kwani kila sehemu niliyowahi kutembelea na kila jarida nililowahi kusoma hakuna sehemu niliyowahi kuona hawa wazungu wanatulazimisha kununua au kuyatumia haya mavitu.Ni sawa na muuza sumu hakulazimishi kwenda kwake na hata ukienda atakuuzia bila kujali unayeenda kumuwekea sumu hiyo ni panya,paka wa jirani au unataka kujiua mwenyewe.Kwa hiyo mkuu wakati mwingine tujiangalie wenyewe zaidi kwa matatizo yetu na sio kumshutumu mzungu..
When I see these things huwa ninawachukia wadhungu kwa kutengeneza kitu hii!!!!!!!!!!!! Coz they knew the outcome of such things, and Africans end up killing each other. Kwa hili sitakaa niwapende wadhungu!
umchukie mzungu kwa ujinga wenu wenyewe.