Sasa wewe unataka mimi nisutwemtoa mada huyo? Kama namuona anavyonimaindi ngoja nikimbie
Nimemaanisha kuna wanaume hawana six pack na hela hawana.
Nilikuwa namwongelea hazard cfc.
Sasa wewe unataka mimi nisutwemtoa mada huyo? Kama namuona anavyonimaindi ngoja nikimbie
Hutakiwi kuwa na mentality hiyo, unless huna uwezo/mbinu za hiko unachokitaka.
Mbona kama ninasemwa hapaTatizo ni pale hamna six pack na hauna hela.
Yule kashanikubali na one pack yangu na 0 cars.
ohoo sawaaSasa wewe unataka mimi nisutwe
Nimemaanisha kuna wanaume hawana six pack na hela hawana.
Nilikuwa namwongelea hazard cfc.
Upo vizuri.
Una uhakika?
Sasa hapo anza kutafuta hela, ukipata hamia kutafuta six packs.Mbona kama ninasemwa hapa
Lakini inatokea
Unanichatisha tuu kuanzia asubuhi mpaka jioni alafu hata vocha hutumi
Nikikujibu K badala ya OKAY unamind kweli?
Hebu muwe mnajiongeza jamani, tunawapenda sana.
Mwenza habari za asubuhi?
umeokoka ?I have lived my life as far as this business is concerned.
Naanza kusali, nimeokoka mdogo wangu.
niaze kutafuta six pack kwanza.. Maana ndio rahisiSasa hapo anza kutafuta hela, ukipata hamia kutafuta six pack.
Umeniita halafu hutaki nije?😂😂😂
Tatizo ni pale hamna six pack na hauna hela.
Haha eti eeh na umshikilie vizuri maana yule aliyesema hivyo alisema anatupenda wote ukimuacha anazagaa zagaa anabebwaUndugu siyo kufanana, ni kufaana.
Ninyi ni ndugu kabla hata ya hiyo jana, ndiyo maana uliweza kumshauri joanah achague lililo jema (anichague mimi).
Six pack halafu utafute mdada wa kukulea?niaze kutafuta six pack kwanza.. Maana ndio rahisi