View attachment 1220220
No, Mitch Mcconnel, put him down. For how much longer are you going to carry all that burden around?
Viongozi wababe wasiofuata sheria hawana nafasi ndani ya utawala wa kidemokrasia. Marekani walimwaga damu zao wakidai uhuru na haki...give me liberty or give me death. Kiongozi yeyote anayethubutu kutofuata sheria awe tayari kuwajibishwa.Chuki zipo kila mahali
You wishViongozi wababe wasiofuata sheria hawana nafasi ndani ya utawala wa kidemokrasia. Marekani walimwaga damu zao wakidai uhuru na haki...give me liberty or give me death. Kiongozi yeyote anayethubutu kutofuata sheria awe tayari kuwajibishwa.
Na wale supporters wao from Republican side waliokua wakiwaunga mkono wameanza kujitoa kwenye hili kundi lao.Yeah, Democracy at work...we have so much to learn. Support for impeachment is now 55% and growing.
Hakuna kosa lolote alilofanya TRump kisheria,kama lipo litaje with evidence.Hili swali hata maliberals mnaulizwa hakuna mwenye jibu.Hata bibi yenu Pelosi hakuna anachujua.Viongozi wababe wasiofuata sheria hawana nafasi ndani ya utawala wa kidemokrasia. Marekani walimwaga damu zao wakidai uhuru na haki...give me liberty or give me death. Kiongozi yeyote anayethubutu kutofuata sheria awe tayari kuwajibishwa.
Who is supporting by 55%?.Yeah, Democracy at work...we have so much to learn. Support for impeachment is now 55% and growing.
Ma Democrats ni majinga majinga mengi sana....You wish
..game imesha kwisha huko,
Common sense VS Chuki,.Haya maneno mawili liberals yanawapa shida sana...Viongozi wababe wasiofuata sheria hawana nafasi ndani ya utawala wa kidemokrasia. Marekani walimwaga damu zao wakidai uhuru na haki...give me liberty or give me death. Kiongozi yeyote anayethubutu kutofuata sheria awe tayari kuwajibishwa.
Nimeshangaa 47% tena opinions zinazotangazwa The Hill na CNN, huku bongo wao wanasema 55%.Who is supporting by 55%?.
Halafu ma liberal yasichokijua ni kwamba,Opinion na Facts ni mbingu na Ardhi.Kumtoa rais madarakani inatakiwa Facts with legal evidence,Sio kutuletea whisleblower ambae hana hata jipya zaidi ya Transcript ambayo WH washaitoa kwenye public...Nimeshangaa 47% tena opinions zinazotangazwa The Hill na CNN, huku bongo wao wanasema 55%.
Ndugu yangu, inayoendeshwa sasa hivi inaitwa impeachment inquiry, yaani kuangalia kama kuna sababu za kutosha za kuendelea na impeachment. Baada ya upelelezi na sababu za kuridhisha kupatikana kamati ya House itatayarisha kinachoitwa articles of impeachment ambazo zitajadiliwa ndani ya House na kupigiwa kura.Nimeshangaa 47% tena opinions zinazotangazwa The Hill na CNN, huku bongo wao wanasema 55%.
Uchunguzi umeanzaYeah, Democracy at work...we have so much to learn. Support for impeachment is now 55% and growing.