Donge nono kutolewa: Nimeibiwa

Donge nono kutolewa: Nimeibiwa

Awatafute masela wa eneo husika, azungumze nao kwa utulivu na kiurafiki zaidi, awape hela kidogo, awahakikishie usalama wao kisha awaagize kwamba anaihitaji laptop yake ainunue toka kwa hao wezi, atangaze na dau kabisaaaa.

Hivyo ndivyo anaweza ku recover project zake. Akienda kipolisi polisi ni bora ajiandae kisaikolojia kuandika maumivu.

Yeah upo sahihu sana. Wao wezi hatakuwa wametoka mbali. Akifanya kama ulivoshauri atapata vituvyote kasoro pesa tu


Awatafute masela wa eneo husika, azungumze nao kwa utulivu na kiurafiki zaidi, awape hela kidogo, awahakikishie usalama wao kisha awaagize kwamba anaihitaji laptop yake ainunue toka kwa hao wezi, atangaze na dau kabisaaaa.

Hivyo ndivyo anaweza ku recover project zake. Akienda kipolisi polisi ni bora ajiandae kisaikolojia kuandika maumivu.
 
ESET Smart Security

The Anti-Theft Audit reported a number of problems with my test systems. One was set to log in automatically, without entering a password. The main account on another didn't even have a password. And neither had ESET's Phantom Account enabled.

The Phantom Account is a special user account created to help ESET track your lost or stolen computer. To the thief, it looks like any user account, but while active it periodically uploads screenshots and webcam photos to the online anti-theft console. It also reports the computer's location using WiFi triangulation.

When you report your computer stolen, ESET reboots into the Phantom Account and hides all other user accounts. From the online console, you can view the uploaded screenshots and webcam photos, or check the device's location. If it seems your computer may be merely lost, not stolen, you can enable a message on the desktop informing the finder how to contact you and arrange for the device's return.

Anti-theft is a common feature in mobile security suites, but rarely integrated into suites aimed at Windows PCs and laptops. It's something I'd like to see more of. Anti-theft is the reason I gave ESET a 4 star rating for privacy protection.

Low Impact on System Resources
ESET manages to do all the work of a full-featured security suite without putting a drain on system performance. Its impact in each of my performance tests was well below the current average.

Averaging the results of booting a test system 100 times with ESET installed and with no suite, I found it took just 7 percent longer to boot. That's hardly noticeable. Repeated runs of a script that times how long it takes to fully load 100 websites didn't take measurably longer under ESET's protection. Webroot and a few others also had no measurable effect on the browsing test.

Another of my test scripts moves and copies a huge collection of huge files between drives, to evaluate a suite's effect on common file-management operations. This script took 9 percent longer with ESET watching; 22 percent is the average. A script that zips and unzips that same collection of files took 11 percent longer. And, as noted earlier, ESET's spam filter hardly slowed email downloading at all.

In a performance test by AV-Comparatives last year, the previous edition of ESET Smart Security was one of a dozen products rated ADVANCED+, the highest rating. You're just not going to see a system slowed by ESET.

Much to Like
ESET Smart Security 6 is a complete security suite, with all the expected features plus a bonus anti-theft component. Its individual components consistently earned good scores in my tests and on independent lab tests. And it won't put a drag on your system performance.

kwani mwizi akibadilisha OS siamna kitu? eSET inaondoka kabsa
 
kwani mwizi akibadilisha OS siamna kitu? eSET inaondoka kabsa

Baada ya installation unatakiwa ufungue account Eset, wizi unapofanyika unafungua account yako kwenye computer nyingine na kutoa taarifa za wizi wa laptop. Mwizi wako anapowasha laptop anapigwa picha kupitia webcom na picha utazikuta kwenye account yako, Kisha wanakutumia map itakayokuonyesha mtaa na nyumba ilipofichwa laptop yako.

Eset ilimkamatisha kijana fulani maeneo ya mikocheni aliyekuwa akipora wanafunzi laptop walikuwa kundi la vijana waliokuwa wanatumia gari dogo lenye vioo vyeusi. Kijana aliyeporwa laptop alichofanya ni kufungua account yake na kuriport wizi, ilichukua muda wa wiki moja kwani hawakuifungua mara moja, walipoiwasha webcom ikachukua picha zao pamoja na map ya eneo ilikofichwa, yule kijana baada ya kupata picha na map wakaondoka na vijana wenzao kuhakiki kama ramani waliyopewa ndipo penyewe, na walipofika eneo hilo waliuliza wenyeji kama wanamfahamu kijana mwenye gari dogo lenye rangi nyeusi na vioo vyeusi, walionyeshwa nyumba anayokaa, sawa sawa na map inavyoonyesha. Walitoa taarifa polisi na walipofika kwenye nyumba hiyo waliwakuta hao vijana, na nyumba ilipokanguliwa laptop yake ilipatikana pamoja na zingine nyingi sana zilizoibiwa.
 
Pole sana mkuu,hayo ndio maisha halisi ya watu wa Dar,tunaishi kwa mashaka sana,sijui kwa watu wenye mihela yao lakini kwa sisi wenye vipato vya kawaida tunao own vigari vyetu used vya kijapan maisha ni ya mashaka sana,imefikia wakati hua naona ni bora nipande daladala nakuwa na amani kuliko nikitoka na gari kwenda katikati ya jiji.
 
Aisee pole sana, shida hizo kazi za watu kama ndio picha za harusi kwa kweli lazima uchanginikiwe,jitahidi kupitia kwenye hawa wenye studio,na waliokuibia ni watu watakuwa wanakujua na wanajua kazi yako, pole ndugu.

Tukisikia tutakujulisha sababulazima hizi tabia za wizi zikomeshwe kwa nguvu zote.
 
kama kweli uko siriaz na vitu vyako nenda mtaa wa bunge ukivuka flats za nssf kwa mbele upande wa kulia kuna duka la mangi jana kuna mtu alikua anauza external naamini zitakua ni hizo, ukienda na polisi umeliwa!

Hawa ndio wafuga wezi hawa, si wakuchekewa.

Ndio hao hao akina Mbowe. Kwa pesa wamefanya mpaka aliyekuwa "shetani" kawa malaika aliyekuwa "malaika" kawa shetani.
 
Jamaa kajipatia capital ya kutosha ya kuanzisha b'ness ila kwa mwizi kila atakachoiba shetan wake anamnong'oneza kuwa hicho ulichoikwapua hakitoshi,baaas hadi pale 40 yake itakapofika.Pole sana mwathirika wa hili.
 
Siku nyingine hakikisha unatumia principles za backup mfano HDD and laptop havitakiwi Kuwa pamoja but ajali no ajali na pole sana
 
Acha begi ofsn au nyumbani au beba mgongoni utembee nalo. Utaingia gharama ya kutafuta laptop mpya na ku fix kioo, na data muhimu zimepotea. Vinginevyo, kama eneo lina mlinzi, mshikishe hata buku 2, hatoenda mbali na gari lako.

Mkuu ukibeba mgongoni nadhani kazi yao inakuwa rahisi zaidi
1.moja wanajua kwamba unamali

2.hawapati tabu ya kuanza kutafuta mzigo uko wapi.

3.watatumia nguvu nyingi kupora wanaweza hata kugharimu uhai wako
 
Ajali haina kinga kaka, msaada tu jamaa apate vitu vyake, japo nadhani zile mil 3 hatazihitaji zirudi.

Ajali INA KINGA! Wewe bado umepotoshwa na imani za kikale. Na kinga yake ilikuwa ni kutoacha vitu vya thamni kwenye gari! Ona umeenda ''shule ya gharama kubwa'' kujifunza somo dogo tu...
 
Hawa ndio wafuga wezi hawa, si wakuchekewa.

Ndio hao hao akina Mbowe. Kwa pesa wamefanya mpaka aliyekuwa "shetani" kawa malaika aliyekuwa "malaika" kawa shetani.
Wewe binti mtarajia kufurahishwa na marijali 70 peponi, ni nini tena hiki?
 
Jamani kumlaumu huyu au kumdhihaki haitasaidia kitu,kama mtu ana mbinu za kumsaidia apate vitu amsaidie kwa upande wangu nakushauri wasiliana na polisi wa maeneo hayo huwa wana contacts za wezi wote utavipata vitu vyako vyote but kwa kutoa kitu kidogo
 
Hivi siku hizi hakuna Waganga wa kienyeji wenye TV inayokuonesha mwizi wako?
 
Back
Top Bottom