kaft rogathe
Member
- Jul 27, 2015
- 14
- 1
Pole sana daaah inauma sana ila mtazamo wa huyo aliyekwambia tafuta masela wa eneo husika nadhan linamantik
Pole sana lakini, Dah! mali zote hizo kuziwacha ndani ya gari na wewe kuondoka ni uzembe wa hali ya juu, hususan hapa Dar, inajulikana wazi kuwa kuna vibaka wa kwenye magari.
Hizo hazirudi mkuu mpaka dakika hii robo Zimeshakuwa kwenye mfumo wa safari lager au vilobaAjali haina kinga kaka, msaada tu jamaa apate vitu vyake, japo nadhani zile mil 3 hatazihitaji zirudi.
Nilishawahi kuibiwa bag lina laptop na external hard drive na mbaya zaidi sikufanya backup ya vitu vilivyo kwenye computer.
Siku nyingine nikawa naficha vitu kwenye buti au chini ya seat.
Kuwa makini siku hizi jamaa wana detectors nafikiri wanasearch hadi kwenye buti
Duh m hua naweka chini ya seat nikijua ni safe kumbe adi wanadetector solution hapa sijui n nini.
Faiza ni kweli ila jamaa anasema alikuwa anaingia just kumcheki mshikaji waondoke it was within fraction of a second.
Hivi magufuli yupo wapi?
Da pole mkuu kwa lilokuta mungu atakuwezesha kuvipata kupitia jf humu
Mbona meseji kama hii imepostiwa na mdada fb sasa muhusika ni nani.mbona siwaelewi