Dondosha sifa moja tu ya Wanaume weusi

Dondosha sifa moja tu ya Wanaume weusi

Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?

Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi

Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,

Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
Unajua kusifia dada yangu!
 
Mi naona wrote sawa Mara ya kwanza niliamini weusi wapo vizuri kwenye bed ila nikaja kukutana na mweupe kati ya wanaume watatu wanaojua mapenzi kwenye list yangu na yeye yupo
 
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi

Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...



NOTE: Comment ziwe fupifupi
Wananukia kiume zaidi,hasa akipuliza na unyunyu,Wakaka weusi Mbinguni mtakaa V.I.P
 
Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?

Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi

Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,

Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
Wacha weee.
 
Kama hali yako ya kimapokeo ya uhalisia wa maumbile yako inaathiriwa na maoni au mitazamo ya watu wengine basi una safari ndefu kuelekea kwenye furaha ya kweli........
Mkuu heshima kwako,hujawahi kua na Comment ya hovyo hapa JF,umeandika jambo zito sana na lenye kufikirisha ila lenye ukweli halisi,sidhani kama mleta mada atakuelewa.
 
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi

Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...

NOTE: Comment ziwe fupifupi
Weusi lile kundi la muziki au ?
 
Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?

Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi

Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,

Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu

Pumba tupu
 
Back
Top Bottom