Dondosha sifa moja tu ya Wanaume weusi

Dondosha sifa moja tu ya Wanaume weusi

Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?

Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi

Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,

Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
"Namskiliza kwa makini halafu namkataa kwa adabu "

Nafuu umwambie tu mapema kabla hajashusha mistari kuliko huu ukatili unaofanya unajua wengine wanakaa kwenye kioo ghetto almost masaa wana memorize mistari kabisa kabla ya kuwatokea
 
Watitu tupo stendbye hapa kuskia sifa zetu
 
Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?

Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi

Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,

Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
Unaposema Weusi wanono kwa bed ina maana ulipitia kila sampuli mpaka ukafikia hilo hitimisho?
 
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi

Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...



NOTE: Comment ziwe fupifupi

Hongera kwa kusuguliwa vizuri mkuu
 
Wenyewe wadada wanasema wanapendelea black and tall.
 
Huu ulemavu wa akili unawashurutisha watu, rangi ya mtu kweli hasa mwanaume inaweza kumfanya awe na tabia fulani.Kwa upande wa wanawake labda.
 
Back
Top Bottom