magasi jnr
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 364
- 571
- Thread starter
- #21
Fact piaIli uwe fit both mentally and physically unatakiwa uwe na pesa, kumbuka mwanaume asifiwi sura au rangi.
Fact piaIli uwe fit both mentally and physically unatakiwa uwe na pesa, kumbuka mwanaume asifiwi sura au rangi.
"Namskiliza kwa makini halafu namkataa kwa adabu "Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?
Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi
Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,
Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
Mentally black... physically black...
Brain ability to analyse things...totally blank


hapo kwenye brain"Namskiliza kwa makini halafu namkataa kwa adabu "
Nafuu umwambie tu mapema kabla hajashusha mistari kuliko huu ukatili unaofanya unajua wengine wanakaa kwenye kioo ghetto almost masaa wana memorize mistari kabisa kabla ya kuwatokea


Hawajui wanavyotutesaKupata tu muda wa kuongea na mwanaume mweusi kwangu Ni baraka sana"Namskiliza kwa makini halafu namkataa kwa adabu "
Nafuu umwambie tu mapema kabla hajashusha mistari kuliko huu ukatili unaofanya unajua wengine wanakaa kwenye kioo ghetto almost masaa wana memorize mistari kabisa kabla ya kuwatokea
Ndo naanza kama iviMtoa mada pambana na low self esteem yako...
Inashangaza sana.Mwanaume!!
Anataka kujua sifa za wanaume wenzake!!!.
Ngoja tuendelee kuzisaka.Mwanaume akisha kuwa na pesa basi mengine ni bonus
Unaposema Weusi wanono kwa bed ina maana ulipitia kila sampuli mpaka ukafikia hilo hitimisho?Nina sifa zao nyingi kwanini moja tu?
Wanavutia kimuonekano
Wanajua kuuishi uanaume
Wako vizuri upande ule wa mahabani(romantic)
Wanono sana kwa bed,
Wako na akili nyingi
Nadhani hata Adam alikuwa black sio white Kama tunavyoaminishwa,
Nawazimia kinoma noma wanaume weusi mfano kale kakijana kanaitwa baraka da prince mwanaume akiwa vile kwangu nafarijika hata akinitongoza namsikiliza kwa makini na nitamkataa kwa adabu
Poleni na pilika pilika za maisha, Nichukue fursa hii kuwaomba wadada kuchukua walau dakika kadhaa kutaja sifa za wanaume weusi
Naamini kupitia huu uzi utatusaidia sisi wanaume weusi both PHYSICALLY na MENTALLY...
NOTE: Comment ziwe fupifupi