HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Rais wa Marekani Donald Trump asema kuwa Venezuela itatawaliwa na Marekani hadi hapo atapopatikana mtu wa kutawala Venezuela.
Asema kuwa makampuni kutoka Marekani yataanza kazi ya kuchimba mafuta na madini nchini Venezuela ili kuwasaidia wananchi wa Venezuela, na kulipa fidia kwa serikali ya Marekani
Maana yake China, Iran na Urusi ndo wameondolewa rasmi
Asema kuwa makampuni kutoka Marekani yataanza kazi ya kuchimba mafuta na madini nchini Venezuela ili kuwasaidia wananchi wa Venezuela, na kulipa fidia kwa serikali ya Marekani
Maana yake China, Iran na Urusi ndo wameondolewa rasmi