Don Nalimison looks for a girl to get marry

Don Nalimison looks for a girl to get marry

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,399
DON NALIMISON DESTINY

FACT: Iam 40 years, I haven't wife, I haven't girlfriend, I haven't Children, I haven't Marriage, I haven't house, Iam Single, Unmarried.

IMG_20200921_105032_638.jpg
 
Don Mollison akipata mke sahihi wa kushirikiana nae kimaisha na wakaelewana vizuri im telling you guys after 10 years anakuwa bilionea. Kuna sehemu ndogo sana Don anakosea ambapo akipata mke sahihi anatoboa. Smart ladies fursa hiyo
 
Pia huna kazi ulifukuzwa ualimu.

Swali hela ya kula unapata wapi? Hela ya bando unapata wapi? Hela ya studio unapata wapi?

Jf members tumekuchunguza tumejua wewe ni AFISA KIPENYO+AFISA KIFICHO (Mzee wa tisss). Teh teh teh!
Kama Tiss ndo huwa wanaimba vile basi hakuna kitu kwenye ile idara..😂
 
DON NALIMISON DESTINY

FACT: Iam 40 years, I haven't wife, I haven't girlfriend, I haven't Children, I haven't Marriage, I haven't house, Iam Single, Unmarried.

View attachment 1575869

Mtemi! katika umri wako huo, unatakiwa uweke CV iliyojaa mali na vitega uchumi unavyomiliki! Sasa cha kushangaza umejaza I have't nyingiiii!!

Kwa hii CV yako ya I have't, unategemea kuna mtoto mzuri kweli atakubali awe mama Don Nalimison kweli!! Waambie unamiliki magari mangapi! Una nyumba ngapi! Una viwanda vingapi! Una mabaunsa wangapi wanakulinda! nk.
 
Mtemi! katika umri wako huo, unatakiwa uweke CV iliyojaa mali na vitega uchumi unavyomiliki! Sasa cha kushangaza umejaza I have't nyingiiii!!

Kwa hii CV yako ya I have't, unategemea kuna mtoto mzuri kweli atakubali awe mama Don Nalimison kweli!! Waambie unamiliki magari mangapi! Una nyumba ngapi! Una viwanda vingapi! Una mabaunsa wangapi wanakulinda! nk.
Aisee😀😀, nilitaka niende ila hizo Haven't zimenikimbiza
 
Back
Top Bottom